Takukuru mpoo! Amepewa ukuu wa chuo miaka 5 ana ukwasi wa kutisha.KIVANDA NI HATARI.

Takukuru mpoo! Amepewa ukuu wa chuo miaka 5 ana ukwasi wa kutisha.KIVANDA NI HATARI.

mapambanodaima

Senior Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
108
Reaction score
15
Mkuu wa chuo cha ualimu kinampanda wilayani Iramba mkoani Singida aliyevuliwa madaraka na Naibu Waziri wa Elimu anatisha kwa ufisadi japo amekuwa mkuu wa chuo tangu mwaka 2008 yaani ni miaka mitano tu ana miliki mali zifuatazo. Amenunua nyumba Singida mjini yenye thamani ya milioni 40, ana gari ndogo mbili aina ya Rav4, amewekeza kwenye biashara mjini isiyopungua mil.50.

Maswali ya kujiuliza hiyo ni miaka mitano tu kazipata wapi hizo pesa? Takukuru mmepata kazi fanyeni uchunguzi wa akaunti zake. Tunajua biashara kubwa ni udahili wa wanafunzi maana amekuwa akiuza nafasi za kuingia chuo kwa sh.400000 na zaidi huku akiwapa wazabuni kazi ya kuzikusanya na kumwekea kwenye akaunti yake na yeye kupelekewa majina tu na viambatanisho ili awaite. Uozo huu hauko kinampanda tu bali upo karibu vyuo vyote vya ualimu
 
kwani kazi kaanzia hapo kinampanda?kama aliihifadhi akiba yake tangu alipoajiriwa atashindwaje kununua rav4? au kuwa mtumishi wa umma ndio unatakiwa uwe masikini?
 
Mkuu umepoteza muda wako tu. Takukuru wapo kwa ajiri ya kesi za wizi wa kuku TU.
 
Mingine huwa ni mikopo ya Benki ingawa wakati mwingine tunapata maneno ya mitaani kwani ni kawaida kila kinachofanyika lazima tuki-tag ufujaji au mtu fulani hasa tunae mchukia
 
Watanzania kwa kuwa wewe ni masikini unataka na wenzako wawe masikini. Hizo mali unazozisema hazifiki 150M, af unaita ukwasi wa kutisha.
 
  • Thanks
Reactions: mob
kaka umepoteza mda mbona hivyo ni vijisenti tu kweli kwa macho yako mawili umemwona huyo tu kaka nilitegemea hutasema EPA.RICH MOND .... hunahacha kuleta mada muhimu unaleta chuki binafsi .rostam humwoni lowassa je kaka hacha hizooo ulitaka akutajie vyazo vyake vya uzalishaji .pole wewe hatupo enzi ya sokoine kaka sasa hivi moto mdundo .
 
mungu baliki alikuwa mfanyakazi kama angekuwa street man husingechelewa kumwita freemason.ukishindwa kubuni mbinu za kutoka omba msaada husikalie kutoa macho tu kwa maendeleo ya wenzako .ilooo lione kwanza njaaa tu leo upewe jembe hutakula ....jinga kubwa
 
Mleta mada Umekurupuka aisee me nimekaa nasma kumbe mali zenyew mbna za kawaid sana.huy mtu had kufikia kupewa ukuu wa chuo lazma ana xperience na kaz na kashafny sehemu mblimbl unadhan alikuw hajiwekei akiba?plus other sources of income wala si ajabu kumiliki hivyo viji mali.una chuki binafsi wewe. Otherwse hakuna mfujaji wa mali ya umma hapo.,kawaida sana. SEE THIS www
 
Siyo huyo tu ndugu zangu, viongozi wengi wa Taasisi za serikali wanafanya madudu haya. Mwingine anayeitwa Aloyce Lukulu Masanja amekaimu ukurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji(RUBADA) kwa muda wa miaka sita tu na ana ukwasi wa kutisha ukilinganisha na mapato yake. Ndugu huyu anamiliki Chuo cha Kisasa, Mjumba ya kifahari, magari nk.

Amewahi kuhojiwa na gazeti fulani na kujinasibu kuwa ana akaunti nane, na anafanya kazi sehemu kama saba hivi, hivi kweli hii inawezekana? hasa katika nafasi aliyopewa? Mheshimiwa huyu anatafuna hela za shirika kwa kiwango cha kutisha kwa kupitisha pesa kwenye akaunti za makampuni yake na za washirika wake. Amekuwa pia na tabia ya kuajiri wasukuma wenzake na watoto wa ndugu na marafiki zake kinyume na taratibu kama vile shirika ni mali yake.

Ndugu huu amekuwa akitumia bodi na mtandao aliouweka ili kuhakikisha anahujumu shirika na hamna kitakachotendeka.
Kama mnadhani utani, tembelea mamalaka hii ya RUBADA eneo la ubungo ujionee. Takukuru, polisi na usalama wa taifa nanyi ni wadau? mbona hamchukui hatua hata mkitaarifiwa? inauma, sijui nchi hii inaenda wapi?
 
Nikiwa maskini hamniulizi umaskini wangu umetokana na nini ? Nikiwa tajiri ndio maswali ya ukwasi wako umeupataje haraka namna hii ?

Natarajia kuwa Bilionea so soon, Njooeni mnichunguzee...
 
Wivu unawasumbua

I love this.

watu wawe wanafikiri namna ya kutumia nafasi za kazi walizopewa ili kujipatia mapato siyo kuwaonea wivu wenzao wanaojua kuzitumia nafasi hizo na kujinufaisha! Dah hii ni kali!

Sasa kama kikwete ambaye ana mamlaya ya kufanya lolote kuhusu ardhi ya Tanzania akiamua kutumia nafasi hiyo kuuza ardhi yote ya Tanzania halafu pesa hizo akaziweka kwenye account yake binafsi bado tutalalamika iwapo kufanya hivyo ni wivu?
 
Mkuu wa chuo cha ualimu kinampanda wilayani Iramba mkoani Singida aliyevuliwa madaraka na Naibu Waziri wa Elimu anatisha kwa ufisadi japo amekuwa mkuu wa chuo tangu mwaka 2008 yaani ni miaka mitano tu ana miliki mali zifuatazo. Amenunua nyumba Singida mjini yenye thamani ya milioni 40, ana gari ndogo mbili aina ya Rav4, amewekeza kwenye biashara mjini isiyopungua mil.50.

Maswali ya kujiuliza hiyo ni miaka mitano tu kazipata wapi hizo pesa? Takukuru mmepata kazi fanyeni uchunguzi wa akaunti zake. Tunajua biashara kubwa ni udahili wa wanafunzi maana amekuwa akiuza nafasi za kuingia chuo kwa sh.400000 na zaidi huku akiwapa wazabuni kazi ya kuzikusanya na kumwekea kwenye akaunti yake na yeye kupelekewa majina tu na viambatanisho ili awaite. Uozo huu hauko kinampanda tu bali upo karibu vyuo vyote vya ualimu

Huo sasa WIVU, hivyo ulivyovitaja ni vitu vya kawaida sana, kama umetaja kuwa ana biashara bado akili yako haifanyi kazi ya ku-reason. Miaka mitano ni mingi, hata wewe ukiacha kushinda JF kuleta majungu baada ya miaka mitano watu watakushangaa, mbona pesa zipo nyingi benki ukiwa na akili timamu unaenda kuchukua mkopo kule fanya kazi. YAANI KWELI MTU KUNUNUA RAV4 NA NYUMBA TAYARI ANATISHA, SIKU AKIINUA GHOROFA 5 TU SI MTAMUWANGIA!!!
 
Huo sasa WIVU, hivyo ulivyovitaja ni vitu vya kawaida sana, kama umetaja kuwa ana biashara bado akili yako haifanyi kazi ya ku-reason. Miaka mitano ni mingi, hata wewe ukiacha kushinda JF kuleta majungu baada ya miaka mitano watu watakushangaa, mbona pesa zipo nyingi benki ukiwa na akili timamu unaenda kuchukua mkopo kule fanya kazi. YAANI KWELI MTU KUNUNUA RAV4 NA NYUMBA TAYARI ANATISHA, SIKU AKIINUA GHOROFA 5 TU SI MTAMUWANGIA!!!

Miafrika ndivyo tulivyo mtu akipata maneno kibao mara oh lowasa fisad mara riz one wivu wa kike huo tubadilike uchawi mbaya unapeleka motoni
 
kumbe ukiwa mfanyakazi wa serikali unatakiwa kuwa maskini....
 
Kweli watanzania tuna akili ya umaskini. Hivi mtu mwenye hadhi ya Mkuu wa Chuo kwa miaka takribani mitano kuwa na mali za Tsh. million 50 ni utajiri? Bila shaka kabla ya kuwa mkuu wa chuo ametumikia nafasi nyingine. Ni nini sasa faida ya kufanya kazi??

Naona hata haibu kuendelea kuchangia.

Mkuu wa chuo cha ualimu kinampanda wilayani Iramba mkoani Singida aliyevuliwa madaraka na Naibu Waziri wa Elimu anatisha kwa ufisadi japo amekuwa mkuu wa chuo tangu mwaka 2008 yaani ni miaka mitano tu ana miliki mali zifuatazo. Amenunua nyumba Singida mjini yenye thamani ya milioni 40, ana gari ndogo mbili aina ya Rav4, amewekeza kwenye biashara mjini isiyopungua mil.50.

Maswali ya kujiuliza hiyo ni miaka mitano tu kazipata wapi hizo pesa? Takukuru mmepata kazi fanyeni uchunguzi wa akaunti zake. Tunajua biashara kubwa ni udahili wa wanafunzi maana amekuwa akiuza nafasi za kuingia chuo kwa sh.400000 na zaidi huku akiwapa wazabuni kazi ya kuzikusanya na kumwekea kwenye akaunti yake na yeye kupelekewa majina tu na viambatanisho ili awaite. Uozo huu hauko kinampanda tu bali upo karibu vyuo vyote vya ualimu
 
Siyo huyo tu ndugu zangu, viongozi wengi wa Taasisi za serikali wanafanya madudu haya. Mwingine anayeitwa Aloyce Lukulu Masanja amekaimu ukurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji(RUBADA) kwa muda wa miaka sita tu na ana ukwasi wa kutisha ukilinganisha na mapato yake. Ndugu huyu anamiliki Chuo cha Kisasa, Mjumba ya kifahari, magari nk.

Amewahi kuhojiwa na gazeti fulani na kujinasibu kuwa ana akaunti nane, na anafanya kazi sehemu kama saba hivi, hivi kweli hii inawezekana? hasa katika nafasi aliyopewa? Mheshimiwa huyu anatafuna hela za shirika kwa kiwango cha kutisha kwa kupitisha pesa kwenye akaunti za makampuni yake na za washirika wake. Amekuwa pia na tabia ya kuajiri wasukuma wenzake na watoto wa ndugu na marafiki zake kinyume na taratibu kama vile shirika ni mali yake.

Ndugu huu amekuwa akitumia bodi na mtandao aliouweka ili kuhakikisha anahujumu shirika na hamna kitakachotendeka.
Kama mnadhani utani, tembelea mamalaka hii ya RUBADA eneo la ubungo ujionee. Takukuru, polisi na usalama wa taifa nanyi ni wadau? mbona hamchukui hatua hata mkitaarifiwa? inauma, sijui nchi hii inaenda wapi?

Kwanza huyo msukuma kwa wandengereko anafanya nini? kwa nini wasiwekwe wenye bonde lao Akina Mbonde ,BiNyakisigalile,mzee mkandabwe,mzee mtupa na kadhalika,aangalie ataliwa na 'ngwena' wenyewe wakistuka ohoo!
 
Back
Top Bottom