Takukuru na sekretarieti ya ajira chunguzeni haraka kinachotokea DUCE, ni aibu

Takukuru na sekretarieti ya ajira chunguzeni haraka kinachotokea DUCE, ni aibu

Chief Ortambo Ikumenye

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2017
Posts
247
Reaction score
503
Wakuu nimetimba hapa Duce aisee ni aibu. Kuna mazingira yote ya urasimu unaendelea kwenye interview zilizofanyika jana.

Tulitegemea matokeo yawekwe kwenye sekretarieti ya ajira lakini haikuwa hivo.

Nimefika hapa asubuhi naambiwa eti waliofaulu walipigiwa simu.

Mpaka sasa hatujui waliopiga simu ni kina nani?

Waliopigiwa walifaulu kwa maksi ngapi?

Tumeenda kwenye ofisi ya HR wanatujibu kwa dharau, eti kaa hujapigiwa simu ujue hujafaulu.

Yaani kuna mazingira yote ya rushwa ambayo sikutegemea kwenye chapa ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam.

Nimemuuliza mmoja wa wafanyakazi wa hapa wanasema eti kuna mkanganyiko ulitokea jana.

Yaani ni aibu sana, tunaomba utumishi muingilie hili suala na takukuru mfanye uchunguzi. Hapa kuna mazingira ya rushwa kabisa wazi wazi. Ni kwanini utaratibu uvunjwe?

Kwanini vyuo vingine utaratibu umekuwa wazi na unaoeleweka? Kwanini Duce kumekuwa na mambo ya kipuuzi kiasi hiki.

Naombeni waungwana huu uzi upewe uzito tukemee kinachotokea DUCE kwa sasa.
 
Wakuu nimetimba hapa Duce aisee ni aibu. Kuna mazingira yote ya urasimu unaendelea kwenye interview zilizofanyika jana.

Tulitegemea matokeo yawekwe kwenye sekretarieti ya ajira lakini haikuwa hivo.

Nimefika hapa asubuhi naambiwa eti waliofaulu walipigiwa simu.

Mpaka sasa hatujui waliopiga simu ni kina nani?

Waliopigiwa walifaulu kwa maksi ngapi?

Tumeenda kwenye ofisi ya HR wanatujibu kwa dharau, eti kaa hujapigiwa simu ujue hujafaulu.

Yaani kuna mazingira yote ya rushwa ambayo sikutegemea kwenye chapa ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam.

Nimemuuliza mmoja wa wafanyakazi wa hapa wanasema eti kuna mkanganyiko ulitokea jana.

Yaani ni aibu sana, tunaomba utumishi muingilie hili suala na takukuru mfanye uchunguzi. Hapa kuna mazingira ya rushwa kabisa wazi wazi. Ni kwanini utaratibu uvunjwe?

Kwanini vyuo vingine utaratibu umekuwa wazi na unaoeleweka? Kwanini Duce kumekuwa na mambo ya kipuuzi kiasi hiki.

Naombeni waungwana huu uzi upewe uzito tukemee kinachotokea DUCE kwa sasa.
Duuu aiseee mtu kafaulu sawa ila mbona vyuo vyote wanaweka wazi kafaulu kwa alama ngapi toka lini kuanza kupigiana simu tena
 
Wakuu nimetimba hapa Duce aisee ni aibu. Kuna mazingira yote ya urasimu unaendelea kwenye interview zilizofanyika jana.

Tulitegemea matokeo yawekwe kwenye sekretarieti ya ajira lakini haikuwa hivo.

Nimefika hapa asubuhi naambiwa eti waliofaulu walipigiwa simu.

Mpaka sasa hatujui waliopiga simu ni kina nani?

Waliopigiwa walifaulu kwa maksi ngapi?

Tumeenda kwenye ofisi ya HR wanatujibu kwa dharau, eti kaa hujapigiwa simu ujue hujafaulu.

Yaani kuna mazingira yote ya rushwa ambayo sikutegemea kwenye chapa ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam.

Nimemuuliza mmoja wa wafanyakazi wa hapa wanasema eti kuna mkanganyiko ulitokea jana.

Yaani ni aibu sana, tunaomba utumishi muingilie hili suala na takukuru mfanye uchunguzi. Hapa kuna mazingira ya rushwa kabisa wazi wazi. Ni kwanini utaratibu uvunjwe?

Kwanini vyuo vingine utaratibu umekuwa wazi na unaoeleweka? Kwanini Duce kumekuwa na mambo ya kipuuzi kiasi hiki.

Naombeni waungwana huu uzi upewe uzito tukemee kinachotokea DUCE kwa sasa.
Ishapigwa hiyo
 
Shida hawana usiri nina. Takukuru hata ukitaka wapenyezea taarifa kazi. Inabidi wawe wana policy ya faragaha na platform anonymous ya kufikishikiwa taarifa. Maana unaweza wapa taarifa wakakutia na ndani
Takukuru wanatakiwa kupeleleza ni kwanini taratibu zimekiukwa? sisi tunajua mkishafanya mtihani chuo wanasahihisha halafu utumishi wanaweka Pdf ya majina na alama walizopata.

Sasa wao eti walikuwa wanapiga simu kwa waliofaulu, tukiuliza kama simu yako ilikuwa imezimwa, wanakuambia watu wote waliopigiwa simu walipatikana.

Yaani ki ukweli kunamazingira ya rushwa kubwa sana kwenye huu usaili.

Sasa imagine mpaka sasa sijui matokeo yangu.. hivi huu si upumbavu mkubwa?

Mbona hii UDSM imekuwa ya hovyo sana siku hizi?
 
Takukuru wanatakiwa kupeleleza ni kwanini taratibu zimekiukwa? sisi tunajua mkishafanya mtihani chuo wanasahihisha halafu utumishi wanaweka Pdf ya majina na alama walizopata.

Sasa wao eti walikuwa wanapiga simu kwa waliofaulu, tukiuliza kama simu yako ilikuwa imezimwa, wanakuambia watu wote waliopigiwa simu walipatikana.

Yaani ki ukweli kunamazingira ya rushwa kubwa sana kwenye huu usaili.

Sasa imagine mpaka sasa sijui matokeo yangu.. hivi huu si upumbavu mkubwa?

Mbona hii UDSM imekuwa ya hovyo sana siku hizi?
Takukuru wanafanya kazi kizamani sana, kijima. Teknolojia hawaitumii kuwasaidia kurahisisha kazi na ufanisi
 
Back
Top Bottom