TAKUKURU njooni Uyui mfuatilie chagamoto zilizopo kwenye ukaguzi wa Majengo

TAKUKURU njooni Uyui mfuatilie chagamoto zilizopo kwenye ukaguzi wa Majengo

uyui1

Member
Joined
May 20, 2024
Posts
10
Reaction score
7
Wilaya Uyui kumekuwa na kasumba moja ambayo nahisi TAKUKURU wapo likizo. Kumekuwa na kasumba kubwa katika ukaguzi wa majengo yao ambapo yaliyokamilika ambapo ambayo wanakuandikia mapungufu yaliopo katika ujenzi wako wenyewe wanaziita hoja.

Katika kujibu hoja hizo hili jengo lako lipokelewe na halmashauri kumekuwa na utaratibu wakutoa Tsh. 500,000 kwa kila hoja ili jengo lako lipokelewe na lianze kutumika.

Ikumbukwe hakuna kitu kinachofanyika bila ushikishwaji wa halmashauri. Sasa majengo yanajengwa wanayakaata halafu baadae wanaaanza kuombana rushwa tunaomba kama serikali ipo, TAKUKURU ilifanyie kazi.
 
Sasa kwa nini unataka kazi yako ipokelewe ikiwa na mapungufu (hoja). Haiwezekani kukamilisha majengo hayo bila mapungufu ili usitoe hizo 500k?
 
Wilaya Uyui kumekuwa na kasumba moja Ambayo nahisi takukuru wapo likizo. Kumekuwa na kasumba kubwa katika ukaguzi wa majengo yao ambapo yaliyokamilika ambapo ambayo wanakuandikia mapungufu yaliopo katika ujenzi wako wenyewe wanaziita hoja.Katika kujibu hoja hizo hili jengo lako lipokelewe na halmashauri kumekuwa na utaratibu wakutoa 500k kwa kila hoja ili jengo lako lipokelewe na lianze kutumika.Ikumbukwe hakuna kitu kinachofanyika bila ushikishwaji wa halmashauri.Sasa majengo yanajengwa wanayakaata halafu baadae wanaaanza kuombana rushwa tunaomba kama serikali ipo (takukukuru) ilifanyie kazi
Jambo hili sio zuri, na takukuru sio malaika ati wawepo kila mahali viashiria vya rushwa vinapojitokeza🐒

hebu kwa siri na ujasiri mkubwa sana,

ripoti jambo hili haraka sana kwa kamanda wa Takukuru hapo uyui ili kusaidia, kwanza kuchelewa kupokelewa majengo hayo kwasabb ambazo hazina mashiko, lakini pia kuchelewa kutumika kwa majengo hayo kwa maslahi ya umma.

Hiyo ni hujuma ya kiuchumi, kwa jitiahada za maendeleo zinazofanywa na Serikali chini ya Dr Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania 🐒

report pale maramoja na mstakiwa namba moja ni huyo enjinia wa halmashuri aliesimamia ujenzi na sasa anataka kukabidhiwa majengo hayo hayo kwa rushwa. 🐒

we can't go like that...
 
Jambo hili sio zuri, na takukuru sio malaika ati wawepo kila mahali viashiria vya rushwa vinapojitokeza🐒

hebu kwa siri na ujasiri mkubwa sana,

ripoti jambo hili haraka sana kwa kamanda wa Takukuru hapo uyui ili kusaidia, kwanza kuchelewa kupokelewa majengo hayo kwasabb ambazo hazina mashiko, lakini pia kuchelewa kutumika kwa majengo hayo kwa maslahi ya umma.

Hiyo ni hujuma ya kiuchumi, kwa jitiahada za maendeleo zinazofanywa na Serikali chini ya Dr Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania 🐒

report pale maramoja na mstakiwa namba moja ni huyo enjinia wa halmashuri aliesimamia ujenzi na sasa anataka kukabidhiwa majengo hayo hayo kwa rushwa. 🐒

we can't go like that...
Nani wa kumfunga paka kengele
 
Back
Top Bottom