TAKUKURU (PCCB) hebu tusaidiane 'Kulijibu' hili 'Swali' muhimu sana kwenu tafadhali

TAKUKURU (PCCB) hebu tusaidiane 'Kulijibu' hili 'Swali' muhimu sana kwenu tafadhali

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni kwanini katika kila 'Vibanda' ambavyo Askari Barabarani (Traffic Police) huwa wanakaa kuna 'Mlundikano' mkubwa sana wa Magazeti na cha Kushangaza karibia yote utakuta yana zile 'Pini' bado hazijatolewa halafu na hata Wao wenyewe huwa hawana muda wa 'Kuyasoma' ila wanapenda tu kuwa nayo humo 'Vibandani' mwao?
 
'Kwa jinsi takukuru walivyosimamia uchaguzi huu vyema kabisa na kuhakikisha hakuna rushwa ya aina yoyote ile nadhani watatupa majibu sahihi.'
 
'Kwa jinsi takukuru walivyosimamia uchaguzi huu vyema kabisa na kuhakikisha hakuna rushwa ya aina yoyote ile nadhani watatupa majibu sahihi.'
Na kama kuna Vibanda vya 'Traffic Police' vinavyoongoza tu kuwa na Magazeti yenye 'Pini' na wasiyoyasoma ni vya TAZARA, Mwenge na Mbagala.
 
'Kwa jinsi takukuru walivyosimamia uchaguzi huu vyema kabisa na kuhakikisha hakuna rushwa ya aina yoyote ile nadhani watatupa majibu sahihi.'
Wao walisimamia ila CCM iliwakamata watoa rushwa kwenye chama chao! Ila magazeti hayo wanayatumia kama vibubu ndiyo sababu hawaondoi pini.
 
Back
Top Bottom