TAKUKURU pitieni Mkapa English Medium ya Mbeya imetawala rushwa

TAKUKURU pitieni Mkapa English Medium ya Mbeya imetawala rushwa

Freightliner

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
720
Reaction score
527
Shule ya jiji la Mbeya iliyoko Mwanjelwa imetawaliwa na rushwa sana kipindi hiki ambacho watoto wanajindaa na kufanya usaili.

Yaani mwalimu anakuambia kabisa ili mwanao apate nafasi nipe laki tano (500,000) bila hata kupepesa macho anasema hayo.

Na anakwambia tuko wengi pale so tunahitaji pesa hiyo na pia hata ukitoa, mwanao kuna uwezekano wa kupata nafasi au asipate kabisa na kama kawaida
rushwa haidaiwi.

TAKUKURU kuweni makini pale na mfuatilie. Ni amri sio ombi.
 
Mkuu hyo shule umeifuatilia ufaulu wake Mbona ya Kawaida sana inashindana na shule za serikal kama darasa lina Watoto 200 na wanaopata wastani wa A ni 13 na wanaobaki wana pata B hyo Haina tofauti na St Kayumba labda utofaut wa malezi na lugha tu
 
hio shule hata mwanao kupata msosi mpk utoe rushwa,
laa sivyo ni mwendo wa counter attack....

Nilikua mwl mkuu hapo, asaiv najiendeleza na elimu ya juu hapa eagle wing gorofa ya tatu....
 
Mwanjelwa ile njia ya kuelekea makunguru au unazungumzia shule ipi mkuu,..
Kuna st Francis ile ipo fine au mafiati sio mwanjelwa kuna o level hapa
Kuna mkapa ile ndio nursery
 
Hapana ni shule ya serikali lakini English medium
Hata dar Olympio na Bunge ni hivyo hivyo rushwa kwa sana.
Halafu kwa nini serikali huwa haithubutu kusema kuwa ina shule za msingi za english medium??????????arusha ipo pia
 
Hata dar Olympio na Bunge ni hivyo hivyo rushwa kwa sana.
Halafu kwa nini serikali huwa haithubutu kusema kuwa ina shule za msingi za english medium??????????arusha ipo pia
Ikisema mtapeleka watoto zenu Huko mkawajaze
 
Hata dar Olympio na Bunge ni hivyo hivyo rushwa kwa sana.
Halafu kwa nini serikali huwa haithubutu kusema kuwa ina shule za msingi za english medium??????????arusha ipo pia
Arusha zipo mbili kwa sasa na zote mpaka utoe rushwa ndio upate nafasi.
 
Mkuu hyo shule umeifuatilia ufaulu wake Mbona ya Kawaida sana inashindana na shule za serikal kama darasa lina Watoto 200 na wanaopata wastani wa A ni 13 na wanaobaki wana pata B hyo Haina tofauti na St Kayumba labda utofaut wa malezi na lugha tu
Mbeya Asili ya Digrii 4
 
Hata dar Olympio na Bunge ni hivyo hivyo rushwa kwa sana.
Halafu kwa nini serikali huwa haithubutu kusema kuwa ina shule za msingi za english medium??????????arusha ipo pia
Hiyo Olympio mbona kawaida Sana?
 
Back
Top Bottom