Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Kigwangalla ye yupo tu mtaani?Serikali ya awamu ya 6!
Kwani kuna mahali alipokea rushwa??Kigwangalla ye yupo tu mtaani?
Mtuhumiwa anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo May 23, 2021????
vijisamaki ndio vinakamatwa.......papa, nyangumi kina kirefu.....hii nchi hiiAlhamisi Mei 23, 2021.
Huyu Boss alikuwa na haraka gani ya kusaini hii barua bila hata editing utadhani Mhagama kamchukulia mchepuko wake! Ona sasa barua inaenda hewani na kasoro ya kiuandishi.