Pre GE2025 TAKUKURU Temeke yamkamata Habibu Mchange ambae ni mtia nia Ubunge jimbo la Kigamboni kwa Tuhuma za Rushwa

Pre GE2025 TAKUKURU Temeke yamkamata Habibu Mchange ambae ni mtia nia Ubunge jimbo la Kigamboni kwa Tuhuma za Rushwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Temeke, imemkamata na kumhoji Mwananchi aitwaye Habibu Mchange, ambaye ni mwanachama wa chama cha mapinduzi CCM, kwa tuhuma za rushwa ambapo wameeleza ni miongoni mwa watia nia ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la Kigamboni.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

 
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Temeke, imemkamata na kumhoji Mwananchi aitwaye Habibu Mchange, ambaye ni mwanachama wa chama cha mapinduzi CCM, kwa tuhuma za rushwa ambapo wameeleza ni miongoni mwa watia nia ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la Kigamboni.
rushwa ni adui wa haki, rushwa ni dhuluma kwa wanyonge,

ikithibitika pasina shaka,
basi ni muhimu sana hatua kali za kisheria zikachukuliwa dhidi yake ili iwe fundisho kwa watoa rushwa wengine 🐒
 
Ukute maafisa waliomkamata hawakuwa wamepewa maelekezo mapema.
 
...huyu Mchange nae akae chini ajitulize na kujitafakari, kama atapona lakini..kipindi kile akiwa CDM alituhumiwa pia kupokea MLUNGULA toka kwa billionaire Koka ilikuachia jimbo la Kibaha mjini..leo tena!!
 
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Temeke, imemkamata na kumhoji Mwananchi aitwaye Habibu Mchange, ambaye ni mwanachama wa chama cha mapinduzi CCM, kwa tuhuma za rushwa ambapo wameeleza ni miongoni mwa watia nia ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la Kigamboni.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kutia Nia ni kosa la kisheria? Kuna ushahidi Gani kwa yeye kuonyesha kutia nia?
Mama Shally Kule Kilimanjaro,kagawa sukari,mkoa mzima Kwa wajumbe,Takukuru,imepiga kimya,hilo hamkuliona? Au Kilimanjaro ni Kenya?
 
Kutia Nia ni kosa la kisheria? Kuna ushahidi Gani kwa yeye kuonyesha kutia nia?
Mama Shally Kule Kilimanjaro,kagawa sukari,mkoa mzima Kwa wajumbe,Takukuru,imepiga kimya,hilo hamkuliona? Au Kilimanjaro ni Kenya?
Watia nia wenzake wamemfanyia zengwe😃
 

Attachments

  • IMG-20250314-WA0002.jpg
    IMG-20250314-WA0002.jpg
    103.3 KB · Views: 1
ni muhimu zaidi akaulizwa Askofu Mkuu wa kanisa la chadema gentleman maana ndie kiongozi wa upotoshaji wa kuaminika ndani ya chama hicho 🐒
 

Attachments

  • Screenshot_20250213_083039_Instagram.jpg
    Screenshot_20250213_083039_Instagram.jpg
    510.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250213_083034_Instagram.jpg
    Screenshot_20250213_083034_Instagram.jpg
    446.2 KB · Views: 1
  • images (93).jpeg
    images (93).jpeg
    38.2 KB · Views: 1
gentleman,
nadhani huna uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya masuala ya rushwa right?🐒
Angekuwepo anayeelewa ni wazi zisinhekuwepo kesi za rushwa, mpaka uajiriwe Takukuru utakuwa umejifunza aina za rushwa, kesi zinahusu tafsiri zake tu kati ya wewe unayeijua na mimi nisiyeijua.
 
Angekuwepo anayeelewa ni wazi zisinhekuwepo kesi za rushwa, mpaka uajiriwe Takukuru utakuwa umejifunza aina za rushwa, kesi zinahusu tafsiri zake tu kati ya wewe unayeijua na mimi nisiyeijua.
Relax bas gentleman,
wacha mamlaka zishughulike na wanatuhumiwa kushiriki rushwa ambayo ni adui wa haki 🐒
 
Back
Top Bottom