TAKUKURU toeni taarifa kesi mlizoshinda mahakamani

TAKUKURU toeni taarifa kesi mlizoshinda mahakamani

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,358
Reaction score
10,976
Ingefaa TAKUKURU kama taasisi ya umma. Kutangaza hadharani ni kesi ngapi mpaka sasa wameshinda huko Mahakamani? Pia kuna ugumu mkawa na social media account watu wafichue maovu kwa kuwatumia taarifa zikiwemo picha/video clips za wala rushwa? Anzeni na Mortuary Muhimbili.
 
Takukuru ni tatizo kubwa!!


Yaani wanakula rushwa mpaka kwenye ajira zao.

Mtu anaomba kazi ya kupambana na rushwa then anatoa rushwa apate hiyo kazi
 
Hamna kitu hapo ni kichaka cha ccm tu.
 
Back
Top Bottom