TAKUKURU tunaomba mtupe "feedback" ya kumuhoji Zitto juu ya kashfa Leganga na Mchuchuma aliyoibua

TAKUKURU tunaomba mtupe "feedback" ya kumuhoji Zitto juu ya kashfa Leganga na Mchuchuma aliyoibua

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Nakumbuka kati ya mwaka 2017 au 2018,Zitto aliibua tuhuma kuhusu machimbo ya madini ya chuma ya Leganga na Mchuchuma tuhuma ambazo zilipelekea aitwe TAKUKURU kwa mahojiano, ila tangu ahojiwe hatujawahi kupewa mrejesho.

Cha kujiuliza hapa ni je,kama tuhuma zile zingekuwa za uongo, Zitto angeachwa kushitakiwa kwa kuchafua watu?

TAKUKURU tunaomba mrejesho wa uchunguzi wenu kabla ya kuendelea na mambo mengine.
 
kimya nayo ni mrejesho au hujui kama ni mrejesho
 
Walikuta hana analojua zaidi ya kutamka tu kama msigwa na ishu ya kinana ,tunawapinzani wa hovyo sana
 
Nakumbuka kati ya mwaka 2017 au 2018,Zitto aliibua tuhuma kuhusu machimbo ya madini ya chuma ya Leganga na Mchuchuma tuhuma ambazo zilipelekea aitwe TAKUKURU kwa mahojiano, ila tangu ahojiwe hatujawahi kupewa mrejesho.

Cha kujiuliza hapa ni je,kama tuhuma zile zingekuwa za uongo, Zitto angeachwa kushitakiwa kwa kuchafua watu?

TAKUKURU tunaomba mrejesho wa uchunguzi wenu kabla ya kuendelea na mambo mengine.
Ukiona hvyo ujue kisu kiligonga kwenye mfupa
 
Back
Top Bottom