LGE2024 TAKUKURU yabaini Wagombea wanaotoa rushwa usiku

LGE2024 TAKUKURU yabaini Wagombea wanaotoa rushwa usiku

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kigoma, imebaini baadhi ya wagombea wa uchaguzi wa serikali za mitaa kutumia rushwa ya fedha na nguo kwa kuwapatia wananchi nyakati za usiku wakitembea nyumba kwa nyumba huku baadhi ya wagombea wakilazimika kukimbia ili wasikamatwe wakati wa kudhibiti vitendo vya rushwa.

Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Kigoma John Mgallah, ametoa ufafanuzi kuhusu mienendo ya wagombea na kubaini kutoa rushwa nyakati za usiku, wakitembelea nyumba kwa nyumba.
 
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kigoma, imebaini baadhi ya wagombea wa uchaguzi wa serikali za mitaa kutumia rushwa ya fedha na nguo kwa kuwapatia wananchi nyakati za usiku wakitembea nyumba kwa nyumba huku baadhi ya wagombea wakilazimika kukimbia ili wasikamatwe wakati wa kudhibiti vitendo vya rushwa.

Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Kigoma John Mgallah, ametoa ufafanuzi kuhusu mienendo ya wagombea na kubaini kutoa rushwa nyakati za usiku, wakitembelea nyumba kwa nyumba.
View attachment 3162258
 

Attachments

  • 5929282-43d7e58f930fba84b8de7085be6f9086.mp4
    19.9 MB
Back
Top Bottom