TAKUKURU yamshikilia mzabuni kwa matumizi ya madirisha yaliyo chini ya kiwango

TAKUKURU yamshikilia mzabuni kwa matumizi ya madirisha yaliyo chini ya kiwango

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Ofisi ya TAKUKURU wilaya ya hanang' mkoani Manyara inamshikilia Patrick Joackimu Kauky@Gauensi Joackimu Kauki baada ya kubainika kuweka madirisha yaliyo chini ya kiwango katika ujenzi wa Ikulu ndogo unaoendelea wilayani Hanang'.

Uchunguzi wa TAKUKURU ulibaini kuwa mzabui hyo alipewa zabuni ya kutengeneza madirisha ya alminium na ofisi ya manunuzi ya mkoa wa Manyara katika Ikuli ndogo wilayani Hanang', uchunguzi ulibaini kuwa mzabuni huyo alipewa zabuni hiyo kinyume cha sheria ya manunuzi ya UMMA.
 

Attachments

pongezi kwa takukuru kwa kusimamia thamani ya kila fedha inayo tumika.maeneo hayo ndipo fedha za serikali hupigwa, tulipigwa sana siku za nyuma
 
Ile 1.5 trilion Takukuru hawakuiona ila ya madirisha wameiona sio?

Makontena ya Makonda bandarini nayo pia hawakuyasikia sio?
 
jamaa karusha mawe kwenye kambi ya jeshi. hivi na hizi hapa kazi tu bado mtu unaenda weka madirisha kiwango cha chini Ikulu
 
Back
Top Bottom