Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kweli kabisaWote ni makocha wa Yanga ila Nabi alikua na mazingira magumu ya kutengeneza timu na kuwafanya wachezaji wajiamini.
Gamond ana kazi ya kuwafanya wachezaji wasijiamini kupita kiasi na kui imarisha timu.
Yotekwayote Mataji ndio mpango mzima.
Itakuwa hivyo hivyo tuItakuwaje mkiishia makundi CCL na mkashindwa kuchukua ubingwa wa NBC
Wewe ulitaka iweje?Itakuwaje mkiishia makundi CCL na mkashindwa kuchukua ubingwa wa NBC