Takwimu hazidanganyi: Feisal vs Miquissone

Takwimu hazidanganyi: Feisal vs Miquissone

Mkola Tz

Member
Joined
Sep 10, 2021
Posts
18
Reaction score
15
Kwani Nani alistahili kuchukua hi tuzo

FB_IMG_1634888974542.jpg
 
Feisal dude kubwa hilo. Mchezaji bora hatuangalii kufunga tu, kuna vitu tunaangalia. Labda kama mnataka mvijue mseme.
 
Yaani mnavyo lalamika, unaweza kudhani labda hizo tuzo zina kitu cha ajabu! Kumbe ni upuuzi mtupu.
 
Miquissone ni fundi san wa soka ,Fei toto amepew hiyo tuzo kwasabab tu ni m bongo mwenzetu ila ki uwezo hamfikii Konde boy
 
Feisal alikuwa kiungo mkabaji kabla ya kocha mpya
 
Back
Top Bottom