moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Mechi 6 za mwisho kat ya Yanga na Al ahly.
Kwetu Yanga 0 - 0 Al ahly.
Kwao Al Ahly 2 - 0 Yanga
Taifa Yanga 1-0 Al Ahly
Kwao Al Ahly 1 - 0 Yanga , tukatolewa kwa matuta 5 - 4. Apo Al ahly alitoka kuchukua ubingwa wa africa. Yan alikuwa bingwa mtetezi.
Taifa Yanga 1 - 1 Al Ahly
Kwao Al Ahly 2 - 1 Yanga . Ahly walipata goli dakika ya 88 hawakuamini had mashabiki waliingia uwanjani na wachezaj walivua mashat km wamechukua kombe wakat ata mechi bado haijaisha.
Sasa nyny wenzetu kulikoni au mlienda mmekwama wapi[emoji2978][emoji2978][emoji2978][emoji2809][emoji2809]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwetu Yanga 0 - 0 Al ahly.
Kwao Al Ahly 2 - 0 Yanga
Taifa Yanga 1-0 Al Ahly
Kwao Al Ahly 1 - 0 Yanga , tukatolewa kwa matuta 5 - 4. Apo Al ahly alitoka kuchukua ubingwa wa africa. Yan alikuwa bingwa mtetezi.
Taifa Yanga 1 - 1 Al Ahly
Kwao Al Ahly 2 - 1 Yanga . Ahly walipata goli dakika ya 88 hawakuamini had mashabiki waliingia uwanjani na wachezaj walivua mashat km wamechukua kombe wakat ata mechi bado haijaisha.
Sasa nyny wenzetu kulikoni au mlienda mmekwama wapi[emoji2978][emoji2978][emoji2978][emoji2809][emoji2809]
Sent using Jamii Forums mobile app