Takwimu na Masoud Kipanya

Takwimu na Masoud Kipanya

Donnie Charlie

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2009
Posts
16,908
Reaction score
19,123
20220329_083742.jpg


Kwa maana hii mtalii akienda Kilimanjaro, Mikumi nk wanahesabika ni zaidi ya mtalii mmoja.
 
View attachment 2167851

Kwa maana hii mtalii akienda Kilimanjaro, Mikumi nk wanahesabika ni zaidi ya mtalii mmoja.
Kwa mtazamo wangu it's ok ili kupata namba sahihi ya watalii wa sehemu usika ila inapokua n majumuisho ya jumla watalii waliokuja kwa mwaka wale wanaojirudia huwa hawaesabiwi zaidi ya mara moja, mfano mtalii katoka klm kaenda ngorongoro alafu akaondokea zanzibar huyo ataongeza idadi katika kila kituo alichotembelea ila kwa ujumla anachukuliwa mara moja kwenye kuesabu.
 
Kwa mtazamo wangu it's ok ili kupata namba sahihi ya watalii wa sehemu usika ila inapokua n majumuisho ya jumla watalii waliokuja kwa mwaka wale wanaojirudia huwa hawaesabiwi zaidi ya mara moja, mfano mtalii katoka klm kaenda ngorongoro alafu akaondokea zanzibar huyo ataongeza idadi katika kila kituo alichotembelea ila kwa ujumla anachukuliwa mara moja kwenye kuesabu.
kama kwa ujumla anahesabiwa mara moja hapo ni sawa, maana tunaweza sema kwa mwaka wameingia watalii laki nane Tanzania bara kumbe wengine namba zimejirudia.
 
kama kwa ujumla anahesabiwa mara moja hapo ni sawa, maana tunaweza sema kwa mwaka wameingia watalii laki nane Tanzania bara kumbe wengine namba zimejirudia.
Tatizo sisi wabongo ujuaji mwingi hawawezi kuchukua hesabu ambazo sio maana kuna mengi kama kuandaa bajet kwa ajili ya kuendeleza mradi n.k
 
Back
Top Bottom