Takwimu: Simba inaongoza magoli ya penalty ligi kuu

Takwimu: Simba inaongoza magoli ya penalty ligi kuu

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
MICHEZO: Wakati Ligi kuu Soka Tanzania bara ikisubiriwa kurejea mwanzoni mwa mwezi Februari baada ya michuano ya CHAN2024 kushindwa kufanyika mwezi Februari Mpaka Machi, Klabu ya Simba ndio kinara anayeongoza kwa kupata penati nyingi zaidi Ligi Kuu ndani ya michezo 16 iliyochezwa mpaka sasa msimu huu 2024/25.

Simba imepata penati 6 na kuzifunga zote sawa na asilimia 100 ya kuzibadilisha na kuwa magoli. Nafasi ya pili ni Namungo, Tabora na Coastal Union ambazo hizo zote zimepata penati 5 kila mmoja huku nafasi ya tatu Azam Fc, Yanga na Fountain Gate ambazo zimefanikiwa kubadilisha penati na kuwa magoli. Ikumbukwe pia Aziz KI alikosa penati dhidi ya Tabora United iliyookolewa na Golikipa Hussein Masalanga Uwanja wa Chamazi kwenye mchezo ambao Yanga ilipoteza 3-1

Je, tutarajie muendelezo wa penati Ligi ikirejea?

Loser cup sio sawa na club bingwa
1734286893937.jpg
 
MICHEZO: Wakati Ligi kuu Soka Tanzania bara ikisubiriwa kurejea mwanzoni mwa mwezi Februari baada ya michuano ya CHAN2024 kushindwa kufanyika mwezi Februari Mpaka Machi, Klabu ya Simba ndio kinara anayeongoza kwa kupata penati nyingi zaidi Ligi Kuu ndani ya michezo 16 iliyochezwa mpaka sasa msimu huu 2024/25.

Simba imepata penati 6 na kuzifunga zote sawa na asilimia 100 ya kuzibadilisha na kuwa magoli. Nafasi ya pili ni Namungo, Tabora na Coastal Union ambazo hizo zote zimepata penati 5 kila mmoja huku nafasi ya tatu Azam Fc, Yanga na Fountain Gate ambazo zimefanikiwa kubadilisha penati na kuwa magoli. Ikumbukwe pia Aziz KI alikosa penati dhidi ya Tabora United iliyookolewa na Golikipa Hussein Masalanga Uwanja wa Chamazi kwenye mchezo ambao Yanga ilipoteza 3-1

Je, tutarajie muendelezo wa penati Ligi ikirejea?

Loser cup sio sawa na club bingwaView attachment 3207174
Indonesia ni timu inayokamiwa sana,kuna watu/timu wanatoa kitu kidogo ili isishinde na hayo ndio matokeo yake.
 
MICHEZO: Wakati Ligi kuu Soka Tanzania bara ikisubiriwa kurejea mwanzoni mwa mwezi Februari baada ya michuano ya CHAN2024 kushindwa kufanyika mwezi Februari Mpaka Machi, Klabu ya Simba ndio kinara anayeongoza kwa kupata penati nyingi zaidi Ligi Kuu ndani ya michezo 16 iliyochezwa mpaka sasa msimu huu 2024/25.

Simba imepata penati 6 na kuzifunga zote sawa na asilimia 100 ya kuzibadilisha na kuwa magoli. Nafasi ya pili ni Namungo, Tabora na Coastal Union ambazo hizo zote zimepata penati 5 kila mmoja huku nafasi ya tatu Azam Fc, Yanga na Fountain Gate ambazo zimefanikiwa kubadilisha penati na kuwa magoli. Ikumbukwe pia Aziz KI alikosa penati dhidi ya Tabora United iliyookolewa na Golikipa Hussein Masalanga Uwanja wa Chamazi kwenye mchezo ambao Yanga ilipoteza 3-1

Je, tutarajie muendelezo wa penati Ligi ikirejea?

Loser cup sio sawa na club bingwaView attachment 3207174
Ni vema yafutwe.Unaonaje we lichura?
 
Ukitaka kujua thamani ya goli la penati ni kama uto ingepata goli la penati mechi ya juzi dhidi ya MCA.
 
Watu wa mazingira watoe onyo kali. Kuna watu wameanza kutupa hovyo calculator zao
1000044099.jpg
 
Back
Top Bottom