...Takwimu... takwimu... takwimu...

SURN

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2011
Posts
319
Reaction score
36
Samahani wana jf ...nataman kufanya kazi ktk ofisi za TAKWIMU TANZANIA...na mimi nasomea BA in economics.....je kunauwezekano wakuja kufanya kazi katika hizo ofisi baada yakukamilisha masomo yangu?nipo mwaka wa pili
 
Samahani wana jf ...nataman kufanya kazi ktk ofisi za TAKWIMU TANZANIA...na mimi nasomea BA in economics.....je kunauwezekano wakuja kufanya kazi katika hizo ofisi baada yakukamilisha masomo yangu?nipo mwaka wa pili

Inawezekana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…