Takwimu: Thamani Ya Taifa Stars Mioyoni mwa Watanzania, Ila Kwa Wa-Africa Bado Ni Safari Ndefu

Takwimu: Thamani Ya Taifa Stars Mioyoni mwa Watanzania, Ila Kwa Wa-Africa Bado Ni Safari Ndefu

Best Daddy

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2019
Posts
950
Reaction score
1,672
Hii sio taarifa kuhusu kiwango au performance ya timu. Hii ni taarifa inayoonesha timu ya taifa inaundwa na wachezaji wenye thamani(value) gani. Kwa mujibu wa tovuti ya ya Transfermarket na Score, imetoa tafsiri kwamba thamani ya timu ya taifa ‘ Total Market Value” napatikana kwa kupima mambo mengi , ikijumuisha mishahara ya wachezaji na ubora wa ligi zao, takwimu na viwango vya wachezaji katika vilabu vyao.

Ila sasa baada ya kuangalia thamani ya timu ya taifa, Taifa Stars sio kwa ubaya, ila hali yetu sio nzuri kama tunavyofikiri. Katika mataifa yenye uchumi angalau unaridhisha au yenye amani basi sisi ni kama wa mwisho tu. Tumeshika mkia kabisaa. Nasema haya sababu taifa ambalo tumelipita kwa thamani, ni either limeathirika na vita, au ni kisiwa. Yaani ukitoa Botswana, basi mataifa tuliyo yapita ni mataifa yanayoathirika na machafuko ya kisiasa, au ni kisiwa kama sychelles.

Nitatoa taarifa ya timu zote, ila wale ambao wataona shida kupitia timu zote ni kwa linapokuja suala la thamani ya timu za taifa Afrika, Taifa stars ni ya 40 katika nchi 56 zinazo tambulika na CAF yenye thamani ya €2.15m

  • Morocco — €320.05m
  • Nigeria — €275.55m
  • Senegal — €271.30m
  • Ivory Coast— €245.35m
  • Ghana—€ 238.68m
  • Cameroon — €173.75m
  • Mali — € 139.73m
  • Algeria —€138.58m
  • Egypt — €136.15m
  • Burkina Faso — € 108.40m
  • DR Congo —€91.40m
  • Guinea— € 83.43m
  • Gambia — €63.28m
  • Tunisia — €58.65m
  • Angola — €44.98m
  • Guinea- Bissau — € 43.80m
  • Togo — €38.15m
  • Gabon — € 38.00m
  • South Africa — € 34.75m
  • Mozambique — €29.33
  • Cape Verde — €24.63m
  • Kenya — €24.33m
  • Zimbabwe — € 23.88m
  • Zambia — €22.03m
  • The Republic of Congo — € 18.88m
  • Comoros — €18.30m
  • Benin — €17.73m
  • Burundi — €17.55m
  • Central African Republic — €15.13m
  • Equatorial Guinea — €15.13m
  • Liberia — € 14.68m
  • Mauritania — € 10.83m
  • Niger — €8.20m
  • Madagascar —€7.55m
  • Sierra Lione — €6.58n
  • Rwanda —€ 5.23m
  • Namibia — €4.35m
  • Uganda — €3.43m
  • Chad—€ 3. 43m
  • TANZANIA 2.15M


Credit: Transfermarket.com
 
Wakuu labda hii nchi fani yetu sio mpira wa miguu? au kuna michezo mingine tupo bora kuliko mpira wa miguu?
Ila baada ya kuangalia Olympic bado ni janga kubwa, si kwenye marathon, boxing, Wresting, Acting, Volley Ball, Tennis, Basketball.
Kwanini sisi tunaweza nini? Ili tutafute hiyo fani, tuisimamie ili iwe ndiyo ICON yetu.
 
Kwenye mpira sio size yetu ndo mana sasa hv kuna siasa kwenye mpira ndo mana sasa hv tukishinda tunasikia mama anaupiga mwingi, n bora tuunde mchezo wetu wnyw tunaoumudu, nashauri uwe mchezo wa mapenzi
 
Kwenye mpira sio size yetu ndo mana sasa hv kuna siasa kwenye mpira ndo mana sasa hv tukishinda tunasikia mama anaupiga mwingi, n bora tuunde mchezo wetu wnyw tunaoumudu, nashauri uwe mchezo wa mapenzi
Wale wa Mama anaupiga mwingi baada ya timu kushinda, sioni wakiihusisha Taifa Stars kabisa na Mama Yao baada ya timu kupoteza.

Anyways, unataka tuwekeze kwenye ile industry? P*rn Hub, sorry, BONGO HUB? Maybe huko tunaweza.
 
Wale wa Mama anaupiga mwingi baada ya timu kushinda, sioni wakiihusisha Taifa Stars kabisa na Mama Yao baada ya timu kupoteza.

Anyways, unataka tuwekeze kwenye ile industry? P*rn Hub, sorry, BONGO HUB? Maybe huko tunaweza.
Naibu waziri anaomba radhi rais na zaid anamshukuru , [emoji23][emoji23]dah jaman mpira hatuwez labda simba na yanga ndio wanaweza sababu kuna advantage ya kua na wachezaj wa mataifa mbalimbali tofaut na hapo tanzania inatakiwa ikae miaka 10 ikijipanga.
 
Naiona Ghana hipo nafasi ya tano ila imefungwa na Sudani ambayo kwenye orodha haipo. Mpira wa Afrika sijui unakwenda wapi
 
timu ya kihuni una support vipi, wajinga ndo wanaongoza timu, karia ameweka ushikaji mbele na wizi sio malengo ya taifa. inshort. kuna genge la wahuni waolewe wote wale. tuanze upya tena
 
Wakuu labda hii nchi fani yetu sio mpira wa miguu? au kuna michezo mingine tupo bora kuliko mpira wa miguu?
Ila baada ya kuangalia Olympic bado ni janga kubwa, si kwenye marathon, boxing, Wresting, Acting, Volley Ball, Tennis, Basketball.
Kwanini sisi tunaweza nini? Ili tutafute hiyo fani, tuisimamie ili iwe ndiyo ICON yetu.
Mpira wa miguu una vipaji na mashabiki wengi sana. Tatizo ni CCM. Inaingiza siasa cha uchawa kwenye mpira. ia inatumia ''matapeli'' kama kina MO na GSM kupumbaza watu huku wakijifanya wanakuza mpira.
 
Kwenye mpira sio size yetu ndo mana sasa hv kuna siasa kwenye mpira ndo mana sasa hv tukishinda tunasikia mama anaupiga mwingi, n bora tuunde mchezo wetu wnyw tunaoumudu, nashauri uwe mchezo wa mapenzi
Sahv tunamudu mizik umbea udaku kukata mauno

Ova
 
timu ya kihuni una support vipi, wajinga ndo wanaongoza timu, karia ameweka ushikaji mbele na wizi sio malengo ya taifa. inshort. kuna genge la wahuni waolewe wote wale. tuanze upya tena
Kabla hilo genge halijawa kwenye uongozi stars ilifanya nini cha maana..pathetic
 
Kabla hilo genge halijawa kwenye uongozi stars ilifanya nini cha maana..pathetic
Ukitaka kuamini Mbongo kichwani ni mweupe anavyokosoa kaa kimya akimaliza muulize nini kifanyike? Majibu yatakuacha na maswali.
 
Hii sio taarifa kuhusu kiwango au performance ya timu. Hii ni taarifa inayoonesha timu ya taifa inaundwa na wachezaji wenye thamani(value) gani. Kwa mujibu wa tovuti ya ya Transfermarket na Score, imetoa tafsiri kwamba thamani ya timu ya taifa ‘ Total Market Value” napatikana kwa kupima mambo mengi , ikijumuisha mishahara ya wachezaji na ubora wa ligi zao, takwimu na viwango vya wachezaji katika vilabu vyao.

Ila sasa baada ya kuangalia thamani ya timu ya taifa, Taifa Stars sio kwa ubaya, ila hali yetu sio nzuri kama tunavyofikiri. Katika mataifa yenye uchumi angalau unaridhisha au yenye amani basi sisi ni kama wa mwisho tu. Tumeshika mkia kabisaa. Nasema haya sababu taifa ambalo tumelipita kwa thamani, ni either limeathirika na vita, au ni kisiwa. Yaani ukitoa Botswana, basi mataifa tuliyo yapita ni mataifa yanayoathirika na machafuko ya kisiasa, au ni kisiwa kama sychelles.

Nitatoa taarifa ya timu zote, ila wale ambao wataona shida kupitia timu zote ni kwa linapokuja suala la thamani ya timu za taifa Afrika, Taifa stars ni ya 40 katika nchi 56 zinazo tambulika na CAF yenye thamani ya €2.15m

  • Morocco — €320.05m
  • Nigeria — €275.55m
  • Senegal — €271.30m
  • Ivory Coast— €245.35m
  • Ghana—€ 238.68m
  • Cameroon — €173.75m
  • Mali — € 139.73m
  • Algeria —€138.58m
  • Egypt — €136.15m
  • Burkina Faso — € 108.40m
  • DR Congo —€91.40m
  • Guinea— € 83.43m
  • Gambia — €63.28m
  • Tunisia — €58.65m
  • Angola — €44.98m
  • Guinea- Bissau — € 43.80m
  • Togo — €38.15m
  • Gabon — € 38.00m
  • South Africa — € 34.75m
  • Mozambique — €29.33
  • Cape Verde — €24.63m
  • Kenya — €24.33m
  • Zimbabwe — € 23.88m
  • Zambia — €22.03m
  • The Republic of Congo — € 18.88m
  • Comoros — €18.30m
  • Benin — €17.73m
  • Burundi — €17.55m
  • Central African Republic — €15.13m
  • Equatorial Guinea — €15.13m
  • Liberia — € 14.68m
  • Mauritania — € 10.83m
  • Niger — €8.20m
  • Madagascar —€7.55m
  • Sierra Lione — €6.58n
  • Rwanda —€ 5.23m
  • Namibia — €4.35m
  • Uganda — €3.43m
  • Chad—€ 3. 43m
  • TANZANIA 2.15M


Credit: Transfermarket.com
Tuendelee na UCHAWA ndicho tunaoongoza,haya mengine siyo vipaumbele vyetu.
 
Kabla hilo genge halijawa kwenye uongozi stars ilifanya nini cha maana..pathetic
times has change, we have money and technology Acha kukalili. we have better players with international games experience mambo tofauti kabisa
 
Ukitaka kuamini Mbongo kichwani ni mweupe anavyokosoa kaa kimya akimaliza muulize nini kifanyike? Majibu yatakuacha na maswali.
change the tff board, hire expert with logical selection and a better manager, former manager was great. kabla ya hawa wahuni wa sasa.

fire karia and everyone who are influential in football politics. start a modern team management ways

give the new manager autonomy, avoid politics in the team, get more foreign players, play more friendly matches.

a visionary person mimi na hata hensi could change the national team.
 
Mpira wa miguu una vipaji na mashabiki wengi sana. Tatizo ni CCM. Inaingiza siasa cha uchawa kwenye mpira. ia inatumia ''matapeli'' kama kina MO na GSM kupumbaza watu huku wakijifanya wanakuza mpira.
kuna too much money now than ever In football history of tanzania
 
Back
Top Bottom