technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Sema wewe bana wengine tukisema tunaonekana hatersMmmmmmmh mkuu chama unamlinganisha na huyo dogo, zinakutosha kweli?
Toa takwimuMmmmmmmh mkuu chama unamlinganisha na huyo dogo, zinakutosha kweli?
Kombe la waliofeli ulishawahi kulibeba?Chama anacheza CAFCL . Aziza anacheza CAFcc ( kombe la waliofeli) . Halafu unataka kuwalinganisha kweli?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Muda utasema najua June sio mbaliHata mwanzo wa msimu uliopita walikuwa wanasema Kibu ni bora kuliko Mayele tena kwa povu jingi haswa na mishipa ya shingo. Mwisho wa msimu wakaukimbia uzi wao
We achana nao makolo, hawajitambui.
Ni kweli kabisa hadi Makolokolo mlibeba kombe la kahawa...[emoji87]Ushabiki maandazi ndio huo sasa. Chama sio wa kumlinganisha na huyo mchezaji wenu. Chama ashafanya makubwa na muhimu kwenye champions na shirikisho. Fuatilia mechi dhidi ya Nkana, platinum, As vital n.k Chama halinganishwi na yeyote hapo utopoloni kwa msimu mmoja.
Kama timu yako haijawahi kufungwa na Aziz basi endelea kubishaAna bao 4 na assist 3
Halafu ukiangalia kwa jicho la tatu msimu Kwanza ndio unaanza
Tuliposema Aziz Ki ni Bora kuliko Chama watu Wanabisha Sasa mpira ni takwimu
Na takwimu za Azizi ki ndio hizi jamaa sio kwamba tu anafunga na kutoa assist ila anafunga na kutoa assist kwenye game muhimu.
Tuendelee kutunza takwimu mwisho wa msimu tutajua nani Bora Kati ya Aziz ki na Chama.
Mpira ni Takwimu!!
Hakika akili zako ni za kiutopolo.Ni kweli kabisa hadi Makolokolo mlibeba kombe la kahawa...[emoji87]
Sasa kama ulishindwa ata kubeba hilo kombe la walioferi ukafurumshwa kwa idadi kubwa ya magoli auna haki ya kubwabwaja hapaChama anacheza CAFCL . Aziza anacheza CAFcc ( kombe la waliofeli) . Halafu unataka kuwalinganisha kweli?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
hatuwezi kusema azizi Ki ni best kuliko chama kwa takwimu za goals 4 na assist 3 . ubora wa mchezaji unatazamwa mwisho wa msimu tunachkua all statistics na utalinganisha na huyo wengine.Ana bao 4 na 'assist' 3, halafu ukiangalia kwa jicho la tatu msimu ndiyo kwanza unaanza. Tuliposema Aziz Ki ni bora kuliko Chama watu walibisha sasa, mpira ni takwimu.
Na takwimu za Azizi Ki ndiyo hizi, jamaa siyo kwamba tu anafunga na kutoa 'assist' ila anafunga na kutoa 'assist' kwenye mchezo muhimu.
Tuendelee kutunza takwimu mwisho wa msimu tutajua nani bora kati ya Aziz ki na Chama.
Mpira ni Takwimu!