Mitaani watu wanaujua sana sema hakuna mtu atakubali kukwambia kama anaujua.Bro usidanganyika na viewers huwa ina multiple countings. Yaani mimi nikiview Uzi wako sahivi halafu nikiview Tena badae then nikaview mtondogoo it's triplize. Kiuhalisia JF hatufiki hata members laki Tano hata mitaani ukiongelea jf 98% hawajui. You are luck to be here bro.
Active njoo udhibitishe hili, tunahitaji kujuaBro usidanganyika na viewers huwa ina multiple countings. Yaani mimi nikiview Uzi wako sahivi halafu nikiview Tena badae then nikaview mtondogoo it's triplize. Kiuhalisia JF hatufiki hata members laki Tano hata mitaani ukiongelea jf 98% hawajui. You are luck to be here bro.
Kwani Kuna Siri Gani au shida Gani mpk waogope kuujua, kwaio ww ni mmoja wa ambao unahofu watu wakijua unatumia jf? Believe watu wengi hawaujui ndio mana hatufiki hata milioni.Mitaani watu wanaujua sana sema hakuna mtu atakubali kukwambia kama anaujua.
Huwezi kupigwa ban, hujakosea chochote umetoa maoni tu!Naona unanitafutia ban, Wacha Roho mbaya
Hata na mimi huwa nadhani ni hivi.Mi nadhani uki -view halafu,siku nyingine ukairudia tena ikipanda juu inacount tena......sina uhakika,nimewaza tu
Kama uzi wa Kupeana Likes una viewers M.40.Bro usidanganyika na viewers huwa ina multiple countings. Yaani mimi nikiview Uzi wako sahivi halafu nikiview Tena badae then nikaview mtondogoo it's triplize. Kiuhalisia JF hatufiki hata members laki Tano hata mitaani ukiongelea jf 98% hawajui. You are luck to be here bro.
Bado kuna watu wan id zaidi ya moja humu JF.Na Trust me kila mtu ambaye yuko active humu huwa ana ID angalau 2-3.Kuna Dormant n.k.Habari wana Bodi.
Nimekuwa nikiwaza mara kadhaa kuu ya hizi takwimu za mtandao wangu pendwa mzee nisie na makuu.
Hivi ni sahihi kweli kwamba tuko watu laki sita na ushee tuu?
Post zilizotumwa huku ni sahihi?
Nikiwaza ndugu yangu GENTAMYCINE anaweza akawa anapost zaidi ya laki 4 peke yake jinsi alivyo member active huku.
Hebu tusaidieni kuangalia hili
Asante, nawasilisha.
Yes sasa hao milioni 40 wametoka wapKama uzi wa Kupeana Likes una viewers M.40.
Hili uliloandika wewe ndo usahihi wenyewe bila shaka.
Ewaaaaah, now you are talking madamKama uzi wa Kupeana Likes una viewers M.40.
Hili uliloandika wewe ndo usahihi wenyewe bila shaka.
Hao wengine wanaview as guestNdio nawaza hapo
Kuna hii imeangaliwa mara bilion 14 wakati dunia nzima hata bilion kumi hatufikiHuwezi kupigwa ban, hujakosea chochote umetoa maoni tu!
Nachotaka ni kupata uhakika wa hiyo taarifa
Mimi najua views wanahesabiwa kwa id moja haijarishi umefungua mara ngapi uzi wa mtu.
Miaka 7 iliyopita watu wangapi wameshafariki walioangalia hiyo video?Kuna hii imeangaliwa mara bilion 14 wakati dunia nzima hata bilion kumi hatufiki View attachment 2979498
Ni comment pamoja na nyuzi zake.Most message pm au?
Ndio hivyo, kiuhalisia walioangalia hawafiki milioni mia, ila waliangalia mara mbili mbili ndio imezaa bilions za view.Miaka 7 iliyopita watu wangapi wameshafariki walioangalia hiyo video?
Ingekua imetoka jana na views ni 14B ningekubaliana na wewe
Ila ina 7years
Hata mimi nilishawaza kitu kama hicho.Habari wana Bodi.
Nimekuwa nikiwaza mara kadhaa kuu ya hizi takwimu za mtandao wangu pendwa mzee nisie na makuu.
Hivi ni sahihi kweli kwamba tuko watu laki sita na ushee tuu?
Post zilizotumwa huku ni sahihi?
Nikiwaza ndugu yangu GENTAMYCINE anaweza akawa anapost zaidi ya laki 4 peke yake jinsi alivyo member active huku.
Hebu tusaidieni kuangalia hili
Asante, nawasilisha.
Kuna msanii mkubwa aliwahi kupost screenshot ya watazamaji wa nyimbo yake youtubeNdio hivyo, kiuhalisia walioangalia hawafiki milioni mia, ila waliangalia mara mbili mbili ndio imezaa bilions za view.
Kuna jamaa aliniambia nikifikisha miaka 10 nitalipwa na jf japo kiduchu..Habari wana Bodi.
Nimekuwa nikiwaza mara kadhaa kuu ya hizi takwimu za mtandao wangu pendwa mzee nisie na makuu.
Hivi ni sahihi kweli kwamba tuko watu laki sita na ushee tuu?
Post zilizotumwa huku ni sahihi?
Nikiwaza ndugu yangu GENTAMYCINE anaweza akawa anapost zaidi ya laki 4 peke yake jinsi alivyo member active huku.
Hebu tusaidieni kuangalia hili
Asante, nawasilisha.