Kwa wana JF, hivi kikwete alivyosema kwamba CCM imejenga maabara kubwa na ya kisasa ktk hospital ya Bombo Tanga na hakuna kama hiyo popote dunian, ya kwel hayo?
Kwa wana JF, hivi kikwete alivyosema kwamba CCM imejenga maabara kubwa na ya kisasa ktk hospital ya Bombo Tanga na hakuna kama hiyo popote dunian, ya kwel hayo?
ni bombo ya tanga au ulaya??? maabara ya bombo haifikii hata ya kule konsolata ikonda wilaya ya makete!!!!!!Kwa wana JF, hivi kikwete alivyosema kwamba CCM imejenga maabara kubwa na ya kisasa ktk hospital ya Bombo Tanga na hakuna kama hiyo popote dunian, ya kwel hayo?
wanauza mashine na reagents zao pia kupata exemptions under the "hisani" avenueNi maabara za kawaida sana zimejengwa na zingine zinaendelea kujengwa katika hospitali zote za mikoa Tz bara only Dar zipo 3 (Ilala, mwananyamala na Temeke hospitals). Mradi huo unafadhiliwa na shirika binafsi la utafiti wa madawa kutoka Marekani (Abbott fund)
Inasemekana hilo shirika linawekeza ktk maabara pamoja na clinics ili kufanya utafiti wao wa madawa. Kuna uwezekano mkubwa waTZ tukafanywa specimen za majaribio ya madawa ya hao jamaa mara watakapoanza ku-operate!!!
Hajateleza. Ni scope ya uelewa wake.Nadhani Mkuu pale aliteleza!
Nadhani Mkuu pale aliteleza!
Kwa wana JF, hivi kikwete alivyosema kwamba CCM imejenga maabara kubwa na ya kisasa ktk hospital ya Bombo Tanga na hakuna kama hiyo popote dunian, ya kwel hayo?
Imejenga au itajenga?? Nafikifi hiyo ni ahadi mpya!!Kwa wana JF, hivi kikwete alivyosema kwamba CCM imejenga maabara kubwa na ya kisasa ktk hospital ya Bombo Tanga na hakuna kama hiyo popote dunian, ya kwel hayo?
Hakukosea. Alimaanisha Maabara ya Makamba na Sheick Yahya Hussein.
One of it's kind na kweli hamna duniani.
Ni maabara za kawaida sana zimejengwa na zingine zinaendelea kujengwa katika hospitali zote za mikoa Tz bara only Dar zipo 3 (Ilala, mwananyamala na Temeke hospitals). Mradi huo unafadhiliwa na shirika binafsi la utafiti wa madawa kutoka Marekani (Abbott fund)
Inasemekana hilo shirika linawekeza ktk maabara pamoja na clinics ili kufanya utafiti wao wa madawa. Kuna uwezekano mkubwa waTZ tukafanywa specimen za majaribio ya madawa ya hao jamaa mara watakapoanza ku-operate!!!