Takwimu za Kipa mpya wa Simba SC Hussein Abel

Takwimu za Kipa mpya wa Simba SC Hussein Abel

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
takwimu.jpg

Mara nyingi makipa wanaonekana sana ni hawa wa timu kubwa, lakini aliyekuwa kipa wa KMC amethihirisha uwezo wake kwenye takwimu.
 
View attachment 2711038
Mara nyingi makipa wanaonekana sana ni hawa wa timu kubwa, lakini aliyekuwa kipa wa KMC amethihirisha uwezo wake kwenye takwimu.
Hussein Abeli ni kipa mzuri, Kwa waliofuatilia mechi za Tanzania Prison wanajua hilo. Aliteseka sana kuna muda nilikuwa nawaza kuwa huyu kipa atakufa jinsi beki yake ilivyomtesa. Natumaini ataleta ushindani.
 
Safi nimependa sana promote wachezaji wetu wa ndani....
 
Kwa nini mlienda kwa mbrazil kwanza?Mlisubiri mbrazil wenu wa daraja la nne huko awaumbue ndiyo mzione takwimu za huyu dogo?.
Sema ukweli tu kuwa hamkuwa na njia nyingine zaidi ya kuchukua yeyote tu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Na wana chief Scout kumbuka hapo [emoji23]
 
Kitendo cha sisi Simba kumuacha beno na kuokota kipa yyte Hapo tumefeli Sana na tutazidi kufeli katika hili
 
Pendekezo la chief of scout.....yule jamaa tapeli
 
Taabu simba imehusika kuua/kuhujum kipaji chake, na saiv inawaza kipa kutoka horoya huoni ndio inazidi kuua Hawa vijana .
 
Back
Top Bottom