OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mara nyingi makipa wanaonekana sana ni hawa wa timu kubwa, lakini aliyekuwa kipa wa KMC amethihirisha uwezo wake kwenye takwimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katikati ya a na t umesahau kuweka rShati
Na takwimu hazidanganyiView attachment 2711038
Mara nyingi makipa wanaonekana sana ni hawa wa timu kubwa, lakini aliyekuwa kipa wa KMC amethihirisha uwezo wake kwenye takwimu.
Huyu kipa ndio aliruhusu mabao yaliyotaka kuishusha darala Prisons SC.Shati
Hussein Abeli ni kipa mzuri, Kwa waliofuatilia mechi za Tanzania Prison wanajua hilo. Aliteseka sana kuna muda nilikuwa nawaza kuwa huyu kipa atakufa jinsi beki yake ilivyomtesa. Natumaini ataleta ushindani.View attachment 2711038
Mara nyingi makipa wanaonekana sana ni hawa wa timu kubwa, lakini aliyekuwa kipa wa KMC amethihirisha uwezo wake kwenye takwimu.
Magoli yote aliyofungwa.Mtuwekee na clean sheet zake basi ili tuweze kupata mfanano wa kweli.
Na wana chief Scout kumbuka hapo [emoji23]Kwa nini mlienda kwa mbrazil kwanza?Mlisubiri mbrazil wenu wa daraja la nne huko awaumbue ndiyo mzione takwimu za huyu dogo?.
Sema ukweli tu kuwa hamkuwa na njia nyingine zaidi ya kuchukua yeyote tu.[emoji23][emoji23][emoji23]