technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Ni watatu Duniani kwa Takwimu bora baada ya Haland na Mbape🔥🔥🔥💚💛💚
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Makolokolo nao walilelewa na akina Mama wa uswahilini hadi waweukwe na akili kiasi hicho?Wakiiona wana Lunyasi watatukana sana
AahaaaaaaaNi watatu Duniani kwa Takwimu bora baada ya Haland na Mbape🔥🔥🔥💚💛💚View attachment 2604735
Hilo bango ni valid? Hebu rudia hiyo hesabu kwa mbappe hapo uone uongo wao!
Style ya ushangiliaji magoli ya Mayele ni ya kimataifa hadi Makolokolo walipofungwa na yule Mchezaji wa Wydad Casablanca alitetema [emoji16]Ni watatu Duniani kwa Takwimu bora baada ya Haland na Mbape[emoji91][emoji91][emoji91][emoji172][emoji169][emoji172]View attachment 2604735
Weka wewe huo ukweliHilo bango ni valid? Hebu rudia hiyo hesabu kwa mbappe hapo uone uongo wao!
Website yenyewe ni ya kifaransa, sijaona kimalkia bado wala hiyo taarifa ya mtikisa maziwa haipo!Weka wewe huo ukweli
Weka wewe hiyo ya tffWebsite yenyewe ni ya kifaransa, sijaona kimalkia bado wala hiyo taarifa ya mtikisa maziwa haipo!
Wekeni ya TFF inayoonesha idadi ya magoli yote aliyofunga na aliyofungishiwa.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ni watatu Duniani kwa Takwimu bora baada ya Haland na Mbape[emoji91][emoji91][emoji91][emoji172][emoji169][emoji172]View attachment 2604735
Yaani wewe ni fala kweli, sasa nani wakubishia takwimu wakati ziko wazi?!Wakiiona wana Lunyasi watatukana sana