Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Kocha wa Zamani wa Yanga Nabi kwasasa anakinoa kikosi cha ASFAR Rabat ya huko Morocco.
Ligi hiyo imekamilika kwa mzunguko wa kwanza na hizi ndizo takwimu za kocha Nabi.
Amecheza mechi 15
Ana Alama 33
Magoli ya kufunga 33
Magoli ya kufungwa 13
Yupo juu ya Msimamo (Kileleni)
Nabi anaupiga mwingi huko Morocco
Ligi hiyo imekamilika kwa mzunguko wa kwanza na hizi ndizo takwimu za kocha Nabi.
Amecheza mechi 15
Ana Alama 33
Magoli ya kufunga 33
Magoli ya kufungwa 13
Yupo juu ya Msimamo (Kileleni)
Nabi anaupiga mwingi huko Morocco