Uchaguzi 2020 Takwimu zinaongea wazi kwa CCM kushinda 2020

wanaku bali kiana ccm oyeee
View attachment 1561886
huyu ni zitto kabwe akijaribu kueleza ukweli wake juu ya mambo makubwa yanayofanywa na serikali ya awamu ya tano chini ya raisi JPM
amekiri kwamba asiyekubaliana na ukweli huo basi yeye sio mzalendo wa nchi yake.

swali je yeye sasa hivi amekuwa msaliti au wapinzani wenza ni wasaliti wa nchi yao?
 


serikali bila pinzani hiyo sio serikali bali ni muunganiko wa watu wenye maslahi yanayoendana na ndani yake lazima kuwepo na upigaji kwa kuwa hakutakuwa na ukosoaji wowote na mambo lazima yaende ndivyo sivyo, isipokuwa tusiegemee sana kwenye upinzani tukapinga hata maendeleo n amambo mazuri yanayokuwa yanatekelezwa na serikali kwa manufaa makubwa ya nchi.
wapinzani sio wapingaji bali ni warekebishaji wa serikali
 
Daima tunasonga mbele kwa kishindo.
 
Wewe utakuwa siyo raia wa Tanzania na huwajui watanzania ni watu wa aina gani.. Kwa taarifa yako wapiga kura wa Tanzania ni wabaya kuliko wale wajumbe. Yaani huyo Tundu wako atapata kura chache sana kuliko zile za Mzee Rungwe wa ubwabwa! Utakuja kuniambia baada ya tarehe 28 Oktoba 2020.
 
Ingekuwa hivyo unavyosema mnashinda , mngehangaika kusomba watu , watoto , kulazimisha , wanafunzi , watumishi , wanavyuo , kuja kwenye mikutano yenu ya kampeni ? Mngemlazimisha Bibi kizee kikongwe mama Maria Nyerere aje mkutanoni , mbona mnatafuta laana nyie ? Mkataka awape na kifimbo cha baba wa Taifa mnafikiri ndio kingewasaidia ? Siku ya kufa nyani miti yote huteleza , subirini kifo chenu .
 
Magu na CCM watu wabaya sana..wamekusanya watoto kwa maelfu wakajaze Kirumba..mkutano umeisha wakawadump watoto hawana hata nauli..kama watoto hawajali itakuwa watu wazima.?
 
takwimu hizi kwa sehemu kiubwa zinazungumza ukweli na ni vitu ambavyo vinaonekana kwa macho bila hata kuambiwa ona ama tazama
#CCM kumapata huyu raisi aliyepo na anayewania kiti hicho cha uraisi kwa mara nyingine kumewapa credit kubwa ya kushinda uchaduzi wa octoba kwa sababu alijikita katika kuwa ridhisha watu wa chini/ wa vijini zadi kqwa kuwapelekea huduma zilizokuwa ndoto kwao kama elimu bure kwa ajili ya watoto wao, maji, vituo vya afya, barabara umeme kwenye vjiji kdhaa n.k

tukumbuke tu kuwa sehemu kubwa ya wapiga kura ni maskini tena watu wa vjijini ambao wanhamasishwa na viongozi wao wa chini, kwa hali hiyo ni dhahiri kuwa sehemu kubwa ya watu wanaokaa vijini wnamfahamu zaidi magufuli kuliko wapinzani wenza #MEMBE NA #lISU
 
Hapana twende taratibu
Kwani kitu gani hakipo wazi hata tuanze kulalamika kiasi hiki
Unajua maana ya takwimu? Pia ningependa kujua level yako ya elimu isijekuwa hilo neno hulijui tukawa hatuelewani
 
Umesahau barabara kila mtaa na mataa yake usiku, hahaa
 
Hii inaonesha no dhahiri kuwa neno takwimu unalielewa vizuri, hakuna haja ya mm kuanza kulieleza kwa mtu anaye lifahami tayari

Isipokuwa hayo yaliyosemwa hapo pamoja na mengine ambayo hayakutajwa hapo yote yanakipa chama Cha mapinduzi nafasi kubwa ya kukubalika zaidi kuliko vyama pinzani
 
Stop there utafungwa Luna sharia ya takwimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…