Talajieni haya kwa sisi walimu toleo jipya

chopp

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
220
Reaction score
41
mwendo wa dics modo chini travoo afu kitu mlege , kuingia shule saa 3 asubuhi , notsi anaandika dent, kufundisha dakika 10 zilizobaki story za mapenz na mpira ligi ya England, madent wazur wa kike ndo posho,

ndo ivyo tutatoa xana zero wakitaka waweke mkwanja m
 

Utafafundisha tu wanao kwa mwendo huo...mwalimu usiyejua hata matumizi ya r na l kwenye sarufi utamfundisha mtoto wa nani?
 
Hakuna ujinga mwingine zaidi ya huu.
 

hebu waonee huruma wanetu basi kuwa kama mzazi
 
talajieni

Kwa tuliozaliwa kwenye makabila ambayo r ni neno common kama Mura,kurenga ukiona mtoto wako wa kiume uliyembeba tumboni kwa miezi tisa na kisha ukamzaa kwa uchungu then akaanza kuongea kwa slang za l badala ya r jua umezaa chakula ya watu...hii ni exceptional kwa makabila pendwa ila hata kama kutamka ni taabu kuandika nako inaleta taabu?
 
Ha ha ha ha, ni 'chakura'

 
kumbe ni tarajieni bac madam hakunifunndisha vizur kiswaz alilipua matokeo yake namimi lazima nilipue tu
 
Tarajia na wanao kudinywa hata km ni wakiume huko2 nyuma
 
Ha ha ha ha, ni 'chakura'

Kuna kavulana fulani ka zamani enzi zetu ambako ni hawa broiler ambaye hata kucheza na sisi watoto wa mtaa mama yake hakupenda,aliogopa mwanae anapasuka gaga...

Ni mwendo wa sokoni na mama,saluni na dada, kwenye kitchen part na vikao vya kusutana...navyoandika post hii 'mtoto wa watu' ni full kurembua, 'aku mwenzangu nyingiiii' na mapigo yake ni hizi pedo na blauzi kama kina nanihii....
 
Wacha kumbeleleza mpuuzi huyu ambaye hata kiswahili hajui. Wako watu wenye akili zao na ujuzi hawajapata nafasi kama hiyo unayochezea. Unamtisha nani? Je ukiumwa na wa hospitalini wakiamua hiyo utapona wewe? Je waandaaji mishahara nao wakigoma utakula mawe? Kila taaluma ni muhimu. Usipime kabisaa utaumia wewe dogo. Chezea mshahara usichezee kazi!!!
 
Mimi ntaajiriwa na sitakua mpuuzi kama wewe,SIPO TAYARI KUJENGA TAIFA LA WAJINGA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…