Talaka naombeni ufafanuzi pls

Talaka naombeni ufafanuzi pls

Karina

Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
51
Reaction score
16
Jamani hivi ingekuwa vip kama wanaweke nao wangepewa uwezo wa kutoa talaka kwa waume zao? cos unakuta mwanaume anamyanyasa sana mke wake na kila akiomba talaka yake hapewi wakati yeye mwanaume anajivinjari na wanawake wengine nje mwanamke hata msg ikikutwa tu kwenye simu ni balaa maana kipigo chake ni cha mbwa mwitu. Sasa mi huwa na jiuliza talaka hutaki kutoa, matumizi ndani hutoi kila kukicha wewe unabadilisha wanawake huku ni kumkomoa mwanamke au ni ubinafsi?????
 
Hata mwanamke anaweza ku file petition ya dissolution of marriage.
 
Back
Top Bottom