HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,567
As much as TALAKA sio kitu kizuri, Sometimes ni suluhisho..... Kuna vitu havivumiliki jamani.... Kuna vitu vinauma Mno!!!
As much as TALAKA sio kitu kizuri, Sometimes ni suluhisho..... Kuna vitu havivumiliki jamani.... Kuna vitu vinauma Mno!!!
Unaweza kutoa mfano wa tatizo ambalo halivumiliki?
Je utoaje wa talaka (kwa wanaume)/kuomba talaka (kwa wanawake) kwa wenye ndoa wenye migogoro ni suluhu ya migogoro hiyo?
Maoni yako, pliz.
inategemea na aina ya matatizo.kama makubwa mno,talaka is the best option.mfano mume au mke imegundulika anataka kumuua mwenzake,mfano umeweka sumu kwenye chakula,au mume kutembea na mtoto wake{kwa upande wangu mimi,hilo halivumiliki}nitamuamini vipi huyo mume tena?au unapigwa kila siku,ukiendelea kukaa mwisho utakuwa kilema.ila matatizo madomadogo unajitahidi kukomaa nayo
Talaka ni kitu kibay Yet sio jibu au suluhu ya migogoro ya kindoa
Matatizo ya ndoa ili yapate majibu ya kweli ni wahusika kukaa na kushughulikia tofauti zao wakimshirikisha Mungu ili shetani asipate nafasi ya kuwapa mafundisho ya uongo kuona kuachana ndio majibu
Hahitajiki mtu wa tatu ktk matatizo ya ndoa
Ni Mungu na WAWILI wahusika
Wapendwa,
Nimeiona mada hii ikiendelea kwenye mtandao wa Fikrapevu nikaona si vibaya na sisi pia tukaileta hapa na kuidadavua kwa maslahi ya wana MMU wote.
Je utoaje wa talaka (kwa wanaume)/kuomba talaka (kwa wanawake) kwa wenye ndoa wenye migogoro ni suluhu ya migogoro hiyo?
Maoni yako, pliz.
Hiyo haijakaa sawa hata kidogo (kama kweli hivyo ni ndivyo ilivyo).
Kwa nini mwanaume atoe na mwanamke aombe?
Talaka yaweza kuwa suluhu kwa yale matatizo ambayo yanaondoa mantiki nzima ya ndoa.
Angalizo: ukianza kutoa talaka utaona suluhu ya kila tatizo ni talaka ndani ya ndoa...usiwe mwepesi wa kutoa talaka na kama ikitokea jitahidi hali hiyo isijirudie.
Unaweza kutoa mfano wa tatizo ambalo halivumiliki?
As much as TALAKA sio kitu kizuri, Sometimes ni suluhisho..... Kuna vitu havivumiliki jamani.... Kuna vitu vinauma Mno!!!