Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

hivi kwanini mange aliachana na lance yamesemwa mengi ila sijui tatizo ni lipi haswa
 
hivi kwanini mange aliachana na lance yamesemwa mengi ila sijui tatizo ni lipi haswa
Yule mi nahisi lakini (maana siri wanayo wawili)...mdomo mchafu +umalaya+ show off+ ba kenzo kukosa kazi na kuamua kurudi shule+ uchafu + maligi na watu around the world= Divorce on fleek[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yule mi nahisi lakini (maana siri wanayo wawili)...mdomo mchafu +umalaya+ show off+ ba kenzo kukosa kazi na kuamua kurudi shule+ uchafu + maligi na watu around the world= Divorce on fleek[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
divorce ya mwendokasi
ila namuoneaga huruma basi tu
 
Kama Leo sijapigwa block cjui manake mi ni die hard fan wake...(Tahadhari humu JF ana Fekero ID kama chawa, alishaniambia DM)...so anakufatilia huku anaenda kukunyoosha IG
 
Kama Leo sijapigwa block cjui manake mi ni die hard fan wake...(Tahadhari humu JF ana Fekero ID kama chawa, alishaniambia DM)...so anakufatilia huku anaenda kukunyoosha IG
nani anamuogopa mange humu bwana?
alishaanika wangapi ? alipata nini zaidi ya majanga mama yangu mange siku anidhalilishe hatoamini nitamloga yaani atamzika mwanae mmoja huku anaona watu tumejipanga bana weee alisema uchawi hauvuki bahari basi ajaribu aje pm nimuambie mimi ni nani akanichambe halafu anipe siku saba kama hajafanya matanga mfyuuu!!!!
 
divorce ya mwendokasi
ila namuoneaga huruma basi tu
Huruma muhimu dear...mi nawaonea huruma kina Keanu asee, wadogo sana asee, halafu nasikia ba kenzo yuko njiani kujichukulia watoto wake very soon, ngoja mshiko ukae vizuri si unajua macontractor Dubai inawalipa kinyamaaaa...
 
Haaaaaa haaaa ......nimetokea kukupenda bure mdada si kwa kunivunja mbavu mweeee...
 
shosti uchawi upo .uganga upo ulozi upo! nilipata majanga shost wangu mimi mtoto wa watu kidogo nife ,piga maombi hakuna nabii tz hii hajaniombea wapi???? tuishie hapo
Duuuuuu...hatareeee, watu wabaya asee, pole mwaego
 
Hivi kweli inawezekana mtu ukawa umeacha matatizo ya familia yako ukaanza kujadili matatizo ya jirani?

Pamoja na mapungufu yote ya huyo mdada Mange, sijaona justification ya kujadiliwa hivi.

Kuna watu wanajiona kama malaika, kuwafanya wenzao kama mashetani.
 
mkuu tupo tu leo wkend halafu habari zake anazileta mwenyewe tunazitoa kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…