Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
nifah....nifah....nifah.... mwanangu una kifua cha kupambana na hyu dada, usitingishe kiberiti
 
Frankly speaking... Mange ni kichwa sana huu ukweli lazima usemwe, sema tu weakness yake ni maugomvi baaasi...ila bidada upstairs yuko fit[emoji122] [emoji122]
Hilo huwa nakiri...always.
 
....ole wako akutie makufuli kwenye page yake IG, then ujipendeze DM or public kumuomba akutolee block, utashushuliwa hadi ukome, demu anapenda kuabudiwa yule sijapata ona
Hao wanaomuomba nao wamekosa kazi.
Naanzaje kuomba nifunguliwe wakati fake ID najua kufungua?
 
Hao wanaomuomba nao wamekosa kazi.
Naanzaje kuomba nifunguliwe wakati fake ID najua kufungua?
Unafikiri wote wanajua kufungua mafekero kama ww[emoji16] [emoji106]...wakipigwa komeo wanajiharishia...kule kuna vituko nachekaga hadi basi
 
Leta leta umbea Miss [emoji39][emoji39][emoji39]
out of topic
hivi mbona mimba za diamond huwa zina ukakasi kiaina?
unakumbuka ile picha zari alipost akafuata alikuwa anaogelea? mara ivan nae kapost eneo hilo hilo mara ana mimba
mimi sielewi ila ukisema utaambiwa umekuwa hater shogangu
 
Leta leta umbea Miss
out of topic
hivi mbona mimba za diamond huwa zina ukakasi kiaina?
unakumbuka ile picha zari alipost akafuata alikuwa anaogelea? mara ivan nae kapost eneo hilo hilo mara ana mimba
mimi sielewi ila ukisema utaambiwa umekuwa hater shogangu
Leta leta umbea Miss [emoji39][emoji39][emoji39]
 
out of topic
hivi mbona mimba za diamond huwa zina ukakasi kiaina?
unakumbuka ile picha zari alipost akafuata alikuwa anaogelea? mara ivan nae kapost eneo hilo hilo mara ana mimba
mimi sielewi ila ukisema utaambiwa umekuwa hater shogangu
zari kuachana na Ivan ni sawa mlokole kuacha uzima wa milele!
 
Hao wanaomuomba nao wamekosa kazi.
Naanzaje kuomba nifunguliwe wakati fake ID najua kufungua?
Alaf kama mtu kakublock unaweza ingia insta kupitia google ukaona kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…