[emoji28][emoji28][emoji28][emoji106] [emoji106] [emoji106] .....zaidi ya yote, tunayoyasema humu ni maisha yake halisi! Mwenyewe kaamua kujilipua mzima mzima no fake ID wala nini, so si tunajichotea miubuyu kutoka kwenye mablogu yake,...ukute ni yeye ( mange) anajibu hapa narudia ana vi id fekero ka mchanga humu JF!?!![emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Uwiiiii hahahhh[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Dada ananyanyua vyuma balaaa!!heee mie vile siwezi hata kidogo!jamani mie mvuvi wa mazoezi![emoji57]
Hao wanaomuomba nao wamekosa kazi.....ole wako akutie makufuli kwenye page yake IG, then ujipendeze DM or public kumuomba akutolee block, utashushuliwa hadi ukome, demu anapenda kuabudiwa yule sijapata ona
Unafikiri wote wanajua kufungua mafekero kama ww[emoji16] [emoji106]...wakipigwa komeo wanajiharishia...kule kuna vituko nachekaga hadi basiHao wanaomuomba nao wamekosa kazi.
Naanzaje kuomba nifunguliwe wakati fake ID najua kufungua?
Heee makubwa...sasa mwamy ndo aliisambaza hiyo e-mail or?...Alikua anamsifia mwanaume wake anajua mapenz akamkandia lance yaan aliongea mambo ya aibu nisije andika nikala ban
Msituu...nasikia waganda hawanyoagi mavuzi, ni sharti!....walioona ya nyari wanasema ana rambooYa zari ina msitu ya nyari sijaiona
ahahaaa haki ya nani nyie wanawake wambea hamchokii nimecheka kweli bado mpo hapa???? nakuja nina umbea wa hatareeHao wanaomuomba nao wamekosa kazi.
Naanzaje kuomba nifunguliwe wakati fake ID najua kufungua?
out of topicLeta leta umbea Miss [emoji39][emoji39][emoji39]
out of topicLeta leta umbea Miss
Leta leta umbea Miss [emoji39][emoji39][emoji39]
jamani nimeitafuta siioni etiMsituu...nasikia waganda hawanyoagi mavuzi, ni sharti!....walioona ya nyari wanasema ana ramboo
zari kuachana na Ivan ni sawa mlokole kuacha uzima wa milele!out of topic
hivi mbona mimba za diamond huwa zina ukakasi kiaina?
unakumbuka ile picha zari alipost akafuata alikuwa anaogelea? mara ivan nae kapost eneo hilo hilo mara ana mimba
mimi sielewi ila ukisema utaambiwa umekuwa hater shogangu
ahahaaazari kuachana na Ivan ni sawa mlokole kuacha uzima wa milele!
cheki birthdayzari kuachana na Ivan ni sawa mlokole kuacha uzima wa milele!
Huu umbea wako shost ni wa mwendobutu....ahahaaa haki ya nani nyie wanawake wambea hamchokii nimecheka kweli bado mpo hapa???? nakuja nina umbea wa hataree
Alaf kama mtu kakublock unaweza ingia insta kupitia google ukaona kila kituHao wanaomuomba nao wamekosa kazi.
Naanzaje kuomba nifunguliwe wakati fake ID najua kufungua?
Mwamy aliisambaza kipindi kile bado mashostHeee makubwa...sasa mwamy ndo aliisambaza hiyo e-mail or?...