Talaka

Mbava

Member
Joined
May 18, 2011
Posts
30
Reaction score
1
Nani mwenye kuathirika zaidi, kati mwanamke na mwanamme baada ya talaka? Naombeni wana JF.
 
Nani katoka talaka mmeo/mkeo! chanzo nini? na Je mmejaribu kushuruhishana mara kadhaa!
 
naamini wanawake ni strong zaidi (kama yeye ameachwa bila sababu,say mwenzie kapata a tempting partner),japokuwa it will take time to move on. mwanaume,majority, akiachwa say kwa the same reason anakuwa shattered down badly,inachukua muda kichwa kutulia.japo atakunywa pombe na labda sleeping with anything in a skirt,lakini kichwa na moyo vinakuwa na hali mbaya.
 
Watoto.
Kati ya mke na mume
Mmmhhh aliependa zaidi...
 
Hakuna anae athirika endapo wanandoa hao hawana watoto. Bt km wanawatoto mara nyingi mke hubeba msalaba, hulea watoto mwenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…