Taliban: Marufuku Vyombo vya Habari kuchapisha picha za viumbe hai

Taliban: Marufuku Vyombo vya Habari kuchapisha picha za viumbe hai

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Serikali ya Taliban nchini Afghanistan kupitia Wizara yake ya Maadili, imeahidi kuanza kutekeleza sheria mpya inayopiga marufuku Vyombo vya Habari Nchini humo kuchapisha picha za viumbe hai ambapo Msemaji wa Wizara hiyo amesema lengo la kufanya hivyo ni kwasababu picha za viumbe hai zinapingana na sheria za Kiislamu.

Imeelezwa kuwa sheria hii mpya imeweka masharti mengine kadhaa kwa Vyombo vya Habari ikiwemo kuepuka kuchapisha picha za viumbe hai na kutokudharau au kupinga mafundisho ya Dini ya Kiislamu.

Utekelezaji wa sheria hii umeanza taratibu ambapo tayari Maafisa wa maadili wa Serikali ya Taliban katika mikoa mbalimbali wameanza kuwaita Waandishi wa Habari na kuwaelekeza kupunguza uchukuaji wa picha na kuepuka matukio mengi ili kuanza kujifunza taratibu sheria hiyo mpya.

Soma Pia: Taliban yaja na sheria kali zaidi dhidi ya wanawake Afghanistan, jumuiya ya kimataifa yalaani vikali


Ripoti zinaonesha kuwa Afghanistan imeendelea kuporomoka katika viwango vya uhuru wa Vyombo vya Habari ambapo idadi ya Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari imepungua kutoka 8,400 mwaka 2021 hadi 5,100, huku Wanawake wakiwa ni 560 tu, kwa mujibu wa Ripoti ya Waandishi Wasio na Mipaka (RSF), Afghanistan sasa inashika nafasi ya 178 kati ya nchi 180 katika orodha ya uhuru wa Vyombo vya Habari kimataifa.
 
37c0e03f-f89c-4362-b106-4f7f6a0173c6.jpeg
 
Tiririka hapo👇👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20241015-212947.png
    Screenshot_20241015-212947.png
    165 KB · Views: 9
  • Screenshot_20241015-213010.png
    Screenshot_20241015-213010.png
    484.9 KB · Views: 7
Serikali ya Taliban nchini Afghanistan kupitia Wizara yake ya Maadili, imeahidi kuanza kutekeleza sheria mpya inayopiga marufuku Vyombo vya Habari Nchini humo kuchapisha picha za viumbe hai ambapo Msemaji wa Wizara hiyo amesema lengo la kufanya hivyo ni kwasababu picha za viumbe hai zinapingana na sheria za Kiislamu.

Imeelezwa kuwa sheria hii mpya imeweka masharti mengine kadhaa kwa Vyombo vya Habari ikiwemo kuepuka kuchapisha picha za viumbe hai na kutokudharau au kupinga mafundisho ya Dini ya Kiislamu.

Utekelezaji wa sheria hii umeanza taratibu ambapo tayari Maafisa wa maadili wa Serikali ya Taliban katika mikoa mbalimbali wameanza kuwaita Waandishi wa Habari na kuwaelekeza kupunguza uchukuaji wa picha na kuepuka matukio mengi ili kuanza kujifunza taratibu sheria hiyo mpya.

Soma Pia: Taliban yaja na sheria kali zaidi dhidi ya wanawake Afghanistan, jumuiya ya kimataifa yalaani vikali

Ripoti zinaonesha kuwa Afghanistan imeendelea kuporomoka katika viwango vya uhuru wa Vyombo vya Habari ambapo idadi ya Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari imepungua kutoka 8,400 mwaka 2021 hadi 5,100, huku Wanawake wakiwa ni 560 tu, kwa mujibu wa Ripoti ya Waandishi Wasio na Mipaka (RSF), Afghanistan sasa inashika nafasi ya 178 kati ya nchi 180 katika orodha ya uhuru wa Vyombo vya Habari kimataifa.
Matatizo ya afya ya akili hayo!
 
Serikali ya Taliban nchini Afghanistan kupitia Wizara yake ya Maadili, imeahidi kuanza kutekeleza sheria mpya inayopiga marufuku Vyombo vya Habari Nchini humo kuchapisha picha za viumbe hai ambapo Msemaji wa Wizara hiyo amesema lengo la kufanya hivyo ni kwasababu picha za viumbe hai zinapingana na sheria za Kiislamu.

Imeelezwa kuwa sheria hii mpya imeweka masharti mengine kadhaa kwa Vyombo vya Habari ikiwemo kuepuka kuchapisha picha za viumbe hai na kutokudharau au kupinga mafundisho ya Dini ya Kiislamu.

Utekelezaji wa sheria hii umeanza taratibu ambapo tayari Maafisa wa maadili wa Serikali ya Taliban katika mikoa mbalimbali wameanza kuwaita Waandishi wa Habari na kuwaelekeza kupunguza uchukuaji wa picha na kuepuka matukio mengi ili kuanza kujifunza taratibu sheria hiyo mpya.

Soma Pia: Taliban yaja na sheria kali zaidi dhidi ya wanawake Afghanistan, jumuiya ya kimataifa yalaani vikali

Ripoti zinaonesha kuwa Afghanistan imeendelea kuporomoka katika viwango vya uhuru wa Vyombo vya Habari ambapo idadi ya Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari imepungua kutoka 8,400 mwaka 2021 hadi 5,100, huku Wanawake wakiwa ni 560 tu, kwa mujibu wa Ripoti ya Waandishi Wasio na Mipaka (RSF), Afghanistan sasa inashika nafasi ya 178 kati ya nchi 180 katika orodha ya uhuru wa Vyombo vya Habari kimataifa.
Kimsingi Afghanistan ni jehanam kwa maelezo hayo. Maana ule moto wanauongelea kwenye vitabu vya dini ndiyo sawa na maisha wanayoishi hawa raia wa Afghanistan.

Huwezi kuniaminisha kuwa eti hiyo ahera ina maisha mabaya kuliko haya. Hapana Afghanistan ndiyo ahera kwenyewe
 
Serikali ya Taliban nchini Afghanistan kupitia Wizara yake ya Maadili, imeahidi kuanza kutekeleza sheria mpya inayopiga marufuku Vyombo vya Habari Nchini humo kuchapisha picha za viumbe hai ambapo Msemaji wa Wizara hiyo amesema lengo la kufanya hivyo ni kwasababu picha za viumbe hai zinapingana na sheria za Kiislamu.

Imeelezwa kuwa sheria hii mpya imeweka masharti mengine kadhaa kwa Vyombo vya Habari ikiwemo kuepuka kuchapisha picha za viumbe hai na kutokudharau au kupinga mafundisho ya Dini ya Kiislamu.

Utekelezaji wa sheria hii umeanza taratibu ambapo tayari Maafisa wa maadili wa Serikali ya Taliban katika mikoa mbalimbali wameanza kuwaita Waandishi wa Habari na kuwaelekeza kupunguza uchukuaji wa picha na kuepuka matukio mengi ili kuanza kujifunza taratibu sheria hiyo mpya.

Soma Pia: Taliban yaja na sheria kali zaidi dhidi ya wanawake Afghanistan, jumuiya ya kimataifa yalaani vikali

Ripoti zinaonesha kuwa Afghanistan imeendelea kuporomoka katika viwango vya uhuru wa Vyombo vya Habari ambapo idadi ya Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari imepungua kutoka 8,400 mwaka 2021 hadi 5,100, huku Wanawake wakiwa ni 560 tu, kwa mujibu wa Ripoti ya Waandishi Wasio na Mipaka (RSF), Afghanistan sasa inashika nafasi ya 178 kati ya nchi 180 katika orodha ya uhuru wa Vyombo vya Habari kimataifa.
Naona wanawasingizia. Je, Picha za passport wanatumia ? Viumbe hai kibiology ni mpaka wanyama, wadudu, samaki ndege binadamu nk. Hizi dini zingine duuh, niishie hapo.
 
This cult was established by an illiterate warlord who gathered hundreds of his kind, brainwashed them, and made them believe that through cruelty and murder, they would inherit dozens of women and rivers of alcohol.

This irrationality, which we still see today, has been passed down through many generations.
 
Mwisho hadi mimea itapigwa marufuku kupigwa picha.
Na hapo Bado tutasikia mengine pia.
Wale wa kulilia Sharia Law na kusimikwa kwa Islamic State Duniani waje watueleze watueleze kuwa vurugu zote hizo ndio wanataka tuishi hivyo?
Tukiwaeleza hiyo Dini sio ya Mwenyezi hawatuelewi kabisa.

Nasubiri maoni ya wafia Uislamu.
 
Serikali ya Taliban nchini Afghanistan kupitia Wizara yake ya Maadili, imeahidi kuanza kutekeleza sheria mpya inayopiga marufuku Vyombo vya Habari Nchini humo kuchapisha picha za viumbe hai ambapo Msemaji wa Wizara hiyo amesema lengo la kufanya hivyo ni kwasababu picha za viumbe hai zinapingana na sheria za Kiislamu.

Imeelezwa kuwa sheria hii mpya imeweka masharti mengine kadhaa kwa Vyombo vya Habari ikiwemo kuepuka kuchapisha picha za viumbe hai na kutokudharau au kupinga mafundisho ya Dini ya Kiislamu.

Utekelezaji wa sheria hii umeanza taratibu ambapo tayari Maafisa wa maadili wa Serikali ya Taliban katika mikoa mbalimbali wameanza kuwaita Waandishi wa Habari na kuwaelekeza kupunguza uchukuaji wa picha na kuepuka matukio mengi ili kuanza kujifunza taratibu sheria hiyo mpya.

Soma Pia: Taliban yaja na sheria kali zaidi dhidi ya wanawake Afghanistan, jumuiya ya kimataifa yalaani vikali

Ripoti zinaonesha kuwa Afghanistan imeendelea kuporomoka katika viwango vya uhuru wa Vyombo vya Habari ambapo idadi ya Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari imepungua kutoka 8,400 mwaka 2021 hadi 5,100, huku Wanawake wakiwa ni 560 tu, kwa mujibu wa Ripoti ya Waandishi Wasio na Mipaka (RSF), Afghanistan sasa inashika nafasi ya 178 kati ya nchi 180 katika orodha ya uhuru wa Vyombo vya Habari kimataifa.
Wakristo wa Buza wanasemaje kwenye hilo
 
Wakajifunze Iran namna ya kuongoza kidini kwakua hawana vikwazo watakwenda mbali sana
Hawawezi kwasababu hawamuamini kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali AS mkombozi wa waislam na uislamu. Kupitia yeye tumepewa Tawfiq/Tawfeek (the ability and opportunity to succeed) na tuna uhakika wa jannah na firdaus.

Allah aendelee kumfanyia wepes na kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S the grandson of the prophet, the son of Ali the prophet's cousin, the son of Fatima daughter of the prophet, brother to Hassan and Father to Imaam Ali Peace be upon him him.

Picha hapo chini ni ya Imaam Hussein akimuaga mke wake kwa mara ya mwisho akienda kuwakomboa waislam na uislamu. Ni picha ya kipekee inapatikana tu Tehran Iran na Karbala Iraq.
il_fullxfull.2160374853_o00v.jpg


Ritz Malaria 2 Adiosamigo Nyonzo bin mvule Granta

Nyau de adriz
 
Back
Top Bottom