Tamaa v/s upendo

Tamaa v/s upendo

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,891
Siku hizi kutamani kunaitwa kupenda,ndio maana mtu anaetafuta mpenzi/mke/mume utasikia sijui nataka mweusi,mweupe,mrefu,mfupi,mwembamba nk,all this had nothing to do with true love,upendo haujalishi unaonekanaje ndo maana ndoa na mahusiano yanayoanzishwa kwa sifa za kushikika hufa mapema coz zimeanzishwa kwa misingi ya tamaa ya mwili na si upendo halisi
 
Sasa kama hao wanaopendwa bila kuangaliwa sura hawaaprishieiti watu wafanyeje??
Acha tu tupendane kisanii siku zisonge!!!
 
kutamani then kupenda bado kupo bwana.....:caked:

Kilichobadilika ni kwamba kutamani na kupenda sasa si ishu sana,ulichonacho ndo ishu kubwa.....kuna watu hawapendi wala hawatamani wale walio nao kwenye mahusiano ila wako nao kwa kuwa wananufaika na kile wanachopata kwa kuwa nao......:bange:
 
Kupenda imebaki asilimia ndogo sana 20% the rest ni kutamani na ndio maana ndoa nyingi za siku hizi hazidumu.
 
Siku hizi kutamani kunaitwa kupenda,ndio maana mtu anaetafuta mpenzi/mke/mume utasikia sijui nataka mweusi,mweupe,mrefu,mfupi,mwembamba nk,all this had nothing to do with true love,upendo haujalishi unaonekanaje ndo maana ndoa na mahusiano yanayoanzishwa kwa sifa za kushikika hufa mapema coz zimeanzishwa kwa misingi ya tamaa ya mwili na si upendo halisi





kupenda kupo... ila kunakuja baada ya kumfahamu, kujua ukubwa wa wallet/balance check, kujua kazi, kujua wanafamilia n.k
 
kupenda kupo... ila kunakuja baada ya kumfahamu, kujua ukubwa wa wallet/balance check, kujua kazi, kujua wanafamilia n.k

Huko sio kupenda dada Asha kama umeolewa au una mpenzi/mchumba na mmekutana kwenye mazingira haya jiandae kupigwa kibuti!!
 
Huko sio kupenda dada Asha kama umeolewa au una mpenzi/mchumba na mmekutana kwenye mazingira haya jiandae kupigwa kibuti!!



Sasa Eiyer unataka nikwambie nini, hatuangalii kupenda maana iliyopo kwenye kamusi naangalia jamii ilonizunguka. Kuna exceptions ambazo watu wanapendana kweli, anapata mwenza wanajenga maisha wote mpaka mnafanikiwa kupata watoto (mfano mimi na ndoa yangu, tuko mbali but tuna hakika tulipendana coz wote tumekutana maisha ya kawaida mno tofauti na sasa).

Eiyer I really wish ningejua kua ni mdada au mkaka nikuulize swali... But kwa ufupi naweza sema hapa mjini saizi the way you look and what you have is what drives you to get a partner. Sisemi ni vizuri but we have to face the reality....
 
Back
Top Bottom