Man Middo tz
Senior Member
- Sep 9, 2020
- 182
- 279
Nimeiba namba za lishangazi zikaja kunitia aibu.
Mama mmoja kwa jina la Ms mwakalebela alimuelewa rafiki yangu Edga, huyu rafiki yangu alikua anauza duka moja maeneo ya Salasala ambako huyu mama ndio anakoishi.
Edga alikabidhiwa duka na boss mmoja kwa jina Atalu, huyu jamaa hakua wale maboss wa kumfuatilia mtu kwasababu alikua nazo. Atalu alimkabidhi duka Edga likiwa na kila kitu plus huduma za kifedha kama tigopesa nk.
Duka lilikuwa eneo zuri sana hivyo Edga alipiga kazi sana plus miamala ya kuzidi kwa upande wa Tigopesa.
Ms. Mwakalebela (PhD) ni Lectuturer wa chuo kimoja cha masuala ya Afya kilichopo maeneo ya mikocheni, lakini pia ni daktari wa magonjwa ya binadamu kwenye hospitali moja yenye jina mfanano na la Waziri wa serikali ya mama.
Dkt. Mwakalebela ni mbobevu mno kielimu kwani hata PhD yake amesomea ughaibuni. Mpaka hapa nadhani unajua nazungumzia mtu wa aina gani.
Kutokana na uchapakazi wa Rafiki yangu Edga pale dukani aliweza kupendwa na wateja wake, nae pia akawaweza kuwaamini wateja wake kutokana na CV zao hata kufikia kuwapa kesh ya zaidi ya millioni 1 pale anapoihitaji kwa dharula.
Madam Mwakalebela PhD, nae alinufaika sana kwenye emergency zake zinazohitaji pesa kwa haraka, kwani kwa Edga alipiga simu moja tu kupata kiasi alichohitaji.
Mwaka 2020 Dkt. Mwakalebela (PhD) aliingia kwenye mchakato wa kugombea Ubunge katika jimbo moja hapa jijini. Madam huyu mama wa watoto wawili wakike, akatia nia kupitia kikuu cha nchi.
Ni kweli alitaka kiti cha Ubunge mbele ya watu wa kubwa kama Askofu J, nia alikuwa nayo ma uwezo alikuwa nao ila umaarufu hakua nao.
katika mchakato huo yeye ndio wale wa kwanza kwanza kutia nia na kuchukua fomu akitaka ridhaa ya chama chake ili akapambane na H.M kutoka CDM. Baadae ndio wengine wenye nguvu ya pesa na umaarufu zaidi wakaja.
Nitaendelea...
Mama mmoja kwa jina la Ms mwakalebela alimuelewa rafiki yangu Edga, huyu rafiki yangu alikua anauza duka moja maeneo ya Salasala ambako huyu mama ndio anakoishi.
Edga alikabidhiwa duka na boss mmoja kwa jina Atalu, huyu jamaa hakua wale maboss wa kumfuatilia mtu kwasababu alikua nazo. Atalu alimkabidhi duka Edga likiwa na kila kitu plus huduma za kifedha kama tigopesa nk.
Duka lilikuwa eneo zuri sana hivyo Edga alipiga kazi sana plus miamala ya kuzidi kwa upande wa Tigopesa.
Ms. Mwakalebela (PhD) ni Lectuturer wa chuo kimoja cha masuala ya Afya kilichopo maeneo ya mikocheni, lakini pia ni daktari wa magonjwa ya binadamu kwenye hospitali moja yenye jina mfanano na la Waziri wa serikali ya mama.
Dkt. Mwakalebela ni mbobevu mno kielimu kwani hata PhD yake amesomea ughaibuni. Mpaka hapa nadhani unajua nazungumzia mtu wa aina gani.
Kutokana na uchapakazi wa Rafiki yangu Edga pale dukani aliweza kupendwa na wateja wake, nae pia akawaweza kuwaamini wateja wake kutokana na CV zao hata kufikia kuwapa kesh ya zaidi ya millioni 1 pale anapoihitaji kwa dharula.
Madam Mwakalebela PhD, nae alinufaika sana kwenye emergency zake zinazohitaji pesa kwa haraka, kwani kwa Edga alipiga simu moja tu kupata kiasi alichohitaji.
Mwaka 2020 Dkt. Mwakalebela (PhD) aliingia kwenye mchakato wa kugombea Ubunge katika jimbo moja hapa jijini. Madam huyu mama wa watoto wawili wakike, akatia nia kupitia kikuu cha nchi.
Ni kweli alitaka kiti cha Ubunge mbele ya watu wa kubwa kama Askofu J, nia alikuwa nayo ma uwezo alikuwa nao ila umaarufu hakua nao.
katika mchakato huo yeye ndio wale wa kwanza kwanza kutia nia na kuchukua fomu akitaka ridhaa ya chama chake ili akapambane na H.M kutoka CDM. Baadae ndio wengine wenye nguvu ya pesa na umaarufu zaidi wakaja.
Nitaendelea...