Tamaduni music vs weusi

Geezzle

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2012
Posts
849
Reaction score
267
Nani kati yao yuko real na anaiwakilisha mitaa vilivo?!
 
Wote. Mashairi ya niki wa pili yanajbu swali lako,ni sawa na niki zohan au uno.
 
Sijajua kuhusu Soko....ila mi napenda kusikiliza ngoma zao

binafsi nawaskiliza sn tamaduni ila weusi kwa kiasi kikubwa wanadeliver kile kinachohtajika sokoni kwa muda muafaka,na pia nadhan wanapata air tm nying labda kwasabu ya management nzuri!
 
Mtoa mada anauliza nani wenye mashairi makali watu wanakimbilia mambo ya soko na airplay....soko na airplay ni mada nyinyine kabisa coz unaweza kuwa mkali na usipate airplay ya kutosha na usifanye vizuri sokoni hapo kuna sababu kadhaa zinazosababisha hilo. Jikiteni kwenye lengo la mtoa mada....great thinkers???
 
weusi wako vizuri zaidi ukitaka kuamini hilo jaribu kufatilia series ya kazi zao from the begining up 2 knw wanajua kubadilika as time goez, alafu pia tamaduni music ni kundi lenye wasanii wengi sana compared 2 weusi(5 pple).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…