Tamaduni zinasemaje kuhusu msaada kwa shemeji ambaye hajapata mtoto kupitia kwa mumewe

Tamaduni zinasemaje kuhusu msaada kwa shemeji ambaye hajapata mtoto kupitia kwa mumewe

Didododi

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2023
Posts
347
Reaction score
465
Wanajukwaa mko pouwa.

Leo hebu tubadilishane uzoefu.Kama tujuavyo kwamba Dunia ipo pamoja na mazuri yaliyomo ila changamoto zipo pia.

Kuna hii changamoto ya kupata mtoto ,Unakuta mke kaolewa kwenye boma
flani alafu linapokuja swala la kupata mtoto inakuwa changamoto.

Je, inapotokea kwamba mke aliyeolewa hana tatizo ila mumewe (hawezi sababisha) Tamaduni zetu na uzoefu Katika jamii unatoa mwongozo gani ili kumsaidia mke aliyeolewa kwenye boma apate mtoto na mahusiano ya wawili hao walioona yaendelee (ikitokea pamoja na changamoto hiyo wameamua kuendelea kuwa kwenye ndoa
 
Wamekuomba msaada? Kama wao wawili wameamua kuendelea na maisha ya ndoa bila kujali iyo changamoto wewe unahangaika na nini?

Unataka tukwambie ukalale na shemeji yako ili umtie mimba? Una akili timamu wewe? Unapata wapi ujasiri wa kutaka kuingiza kibamia chako sehemu aliyoingia kaka yako? Si ajabu utakua umeshaanza kumpigia punyeto mke wa kaka yako.

Hilo sio tatizo lako just stay away from them.
 
Mpatie uzao kaka yako,huyo mke niwenu na ameletwa hapo alete uzao.
 
Wamekuomba msaada? Kama wao wawili wameamua kuendelea na maisha ya ndoa bila kujali iyo changamoto wewe unahangaika na nini...
Watoto si ndiyo wanasaidia uzeeni yeyoo
 
Mmmm ngumu hiyoooo basi sawa ngoja nitafalarii
 
Back
Top Bottom