damian marijani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2010
- 695
- 466

Wanaotokea nyanda za juu kama Kilimanjaro, Upare. Usambaa, Mbeya na Highlands za kusini watakua familiar na hili tunda. Kwa kifupi matunda haya yanafananishwa na nyanya na matumizi yake ni kama nyanya kwa wale wanayoyalima.
Asilia ya matunda haya ni nchi za Peru, Chile, Equador, Columbia na Bolivia. Kwa hivi sasa yanalimwa sana New Zealand ambao wanasafirisha tani 2000 kwa mwaka kupeleka Marekani.
Ningependa kufahamishwa kwa anayeelewa tunda hili kwa kiswahili.