Tamasha hili linajenga mahusiano kati ya Tanzania ipi na Zanzibar ipi?

Tamasha hili linajenga mahusiano kati ya Tanzania ipi na Zanzibar ipi?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
20230831_111934.jpg
 
Kwenye mambo ambayo sio ya Muungano ,Zanzibar ina maamuzi yake kama nchi na kama Tanzania inavyojenga mahusiano na nchi nyingine pia tunatakiwa tujenge mahusiano na Zanzibar.

Hata kama limefanyika Zanzibar , Rais Samia kaalikwa kama mgeni rasmi tu, hata Dkt.Rutto wa Kenya anaweza kumualika Dkt.Samia kama mgeni rasmi katika shughuli inayofanyika Kenya. Haya ndio mambo ya diplomasia, ujirani na mahusiano
 
Kwenye mambo ambayo sio ya Muungano ,Zanzibar ina maamuzi yake kama nchi na kama Tanzania inavyojenga mahusiano na nchi nyingine pia tunatakiwa tujenge mahusiano na Zanzibar.

Hata kama limefanyika Zanzibar , Rais Samia kaalikwa kama mgeni rasmi tu, hata Dkt.Rutto wa Kenya anaweza kumualika Dkt.Samia kama mgeni rasmi katika shughuli inayofanyika Kenya. Haya ndio mambo ya diplomasia, ujirani na mahusiano
Kwa uhalisia Zanzibar haiwezi kujenga uhusiano na Tanzania yenye Zanzibar ndani yake, inaweza kujenga uhusiano na Tanganyika isiyo na Zanzibar.
Tatizo ni nchi kuendeshwa kwa kulazimisha mambo.
 
Kwa uhalisia Zanzibar haiwezi kujenga uhusiano na Tanzania yenye Zanzibar ndani yake, inaweza kujenga uhusiano na Tanganyika isiyo na Zanzibar.
Tatizo ni nchi kuendeshwa kwa kulazimisha mambo.
Unasema Tanzania yenye Zanzibar ndani yake na huku Zanzibar hiyo hiyo ina mambo yake yenyewe ambayo yapo kikatiba, hapo inamaanisha Nini?

Achana na hisia twende kwenye ukweli, na tujiulize maswali yafuatayo:

Muundo wa Muungano wetu ni kama ulivyo kati ya Australia na UK, Mfalme Charles ni Mfalme wa Uingereza na Australia lakini Australia ni mamlaka kamili kabis
 
Unasema Tanzania yenye Zanzibar ndani yake na huku Zanzibar hiyo hiyo ina mambo yake yenyewe ambayo yapo kikatiba, hapo inamaanisha Nini?

Achana na hisia twende kwenye ukweli, na tujiulize maswali yafuatayo:

Muundo wa Muungano wetu ni kama ulivyo kati ya Australia na UK, Mfalme Charles ni Mfalme wa Uingereza na Australia lakini Australia ni mamlaka kamili kabis
Mifano uliyoweka haifanani na nilichoandika, ili uwe na Tanzania ni lazima uwe na Tanganyika na Zanzibar, hauwezi kuwa na Tanzania isiyo na Zanzibar, ukiitoa Zanzibar kwenye Tanzania utabaki na Tanganyika na ndiyo sababu nilimalizia kwa kusema tunalazimishana kwa mfano mtanganyika akitaka kwenda Zanzibar lazima atumie pasi ila mzanzibari anapokuja Tanganyika hahitaji kutumia pasi eti yeye yumo nchini mwake!
 
Back
Top Bottom