Tamasha la Franco Luambo Luanzo Makiadi Grand Master( Grande Maitre) Dar es Salaam- Early 1970's

[emoji1][emoji1]fame with mass.
 
Ajabu ni kwamba baada ya kujua atakufa alitengeneza nyimbo nzuri sana, mfano wimbo Kama Sadou... Au Muongo na Murozi alioimba na Samagwana...

Kuna watu duniani Mungu kawaleta kwa Makusudi kabisa.
Ina maana wewe hujui kwamba utakufa?
 
Asante kwa ufafanuzi mahiri
 
Ina maana wewe hujui kwamba utakufa?
Mkuu najua nitakufa, ila ni tofauti kidogo na ukiambiwa na daktari kwamba siku zako zinahesabika.. Kuna ile feeling unakua nayo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…