Tamasha la miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Tamasha la miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Topetopeni

Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
42
Reaction score
109
26.04.1964 Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ijumaa 26.04.2024,tutaazimisha miaka 60 ya Muungano huu!

Leo hapa Jijini Dodoma,kuna tamasha lakuombea Taifa letu,pia shamrashara zakuazimisha miaka 60 ya Muungano huu,Mgeni Rasimi ni Makamo wa Rais Dkt Philipo Isdory Mpango!

Jambo ambalo kusema na ukweli,limenikera sana,nikualika viongozi wa Dini za ajabu ajabu,kuja kuliombea Taifa letu! Kuna waombaji kama Mwamposa,Gwajima,Kuhani Mussa na kina Shusho,Bahati Bukuku na Frola Mbasha, wengi wa hao waombaji ni wahuni tu,hawana maadili kabisa!

Mfano Shusho kaachana na Mume wake,Frola Mbasha pia aliachana na mume wake,Bahati Bukuku sina taarifa zake kama aliwahi hata kuolewa, Gwajina kila mtu anajua tabia zake,iliwahi kutoka picha anakula muumini wake,huyo Mwamposa ni muongo tu anadanganya watu kukanyaga mafuta ndiyo kubarikiwa,huyo Kuhani Mussa hata sijui ni kutoka Kanisa gani!

Serikali alikeni watu wa dini wasio na makandokando,kuwaalika hao watu kwa gharama zetu sisi walipa kodi,nikutudharau kwa kiwango cha juu sana!

Mnadhani Taifa ndiyo litabalikiwa kwa kuwaalika watu hao?? Tunapoteza muda wa bure!
 
MKuu punguza makasiriko,chamsingi zingatia maokoto,we uliona nani mkamilifu hata huko ccm wahuni kibao
 
Wote hao unaowataja wamebarikiwa Mali na akili kukuzidi endelea kupiga miayo huku ukiendekeza chuki na husda.
 
Sheikh ponda kazingua kinoma, kwenye nafasi yake ya kuomba yeye alianza kwa kulalamikia haki itendeke na ufisadi wakati anajua mada kuu ni ishu ya muungano. Akadai kama haki hakuna hizo dua zilizoombwa na viongozi wenzake wa dini ni kazi bure mungu hatasikia. Akafuata sheikh mwinigine aliyeanza kusifia utawala wa mama tu akala muda mwingi bila kujikita kwenye mada kuu ya muungano. Kuna viongozi wa dini ambao akili zao hazikuwepo katika dhima kuu ya muungano walikuwa na ajenda zao nje na muungano. Kuna kiongozi mmoja wa dini yeye alihitimisha kwa kuwataka watu waitikie amina na kama wasipoitikia basi watakuwa wamelogwa, huo ni mzaha na kutokuchagua maneno mazuri ya kuongea katika hadhira ile. Afadhali gwajima maombi yake yalijikita zaidi kwenye muungano dhidi ya maadui zake
 
Wote hao unaowataja wamebarikiwa Mali na akili kukuzidi endelea kupiga miayo huku ukiendekeza chuki na husda.
Utakua mfuasi wa mmoja wa hao wahuni

Nina maisha mazuri,ambayo ninaweza kukulisha wewe na kizazi chako cha tatu hadi mwisho wa maisha yenu hapa duniani!

Viongozi wa dini wahuni,wahuni tu, PUMBAVU Mkubwa kabisa wewe
 
Utakua mfuasi wa mmoja wa hao wahuni

Nina maisha mazuri,ambayo ninaweza kukulisha wewe na kizazi chako cha tatu hadi mwisho wa maisha yenu hapa duniani!

Viongozi wa dini wahuni,wahuni tu
Huna maisha brother mi na wewe sawa kabisa tofauti ni siwachukii waliofanikiwa zaidi yangu
 
Mambo hayoo
 

Attachments

  • Screenshot_20240422-153724~2.png
    Screenshot_20240422-153724~2.png
    116.3 KB · Views: 4
Huna maisha brother mi na wewe sawa kabisa tofauti ni siwachukii waliofanikiwa zaidi yangu
Wewe bado sana kwangu! Jipange

Wamefanikiwa kwa kuwadanganya watu masikini,eti sijui ibada ya kula keki,mara sijui kuonana na Nabii,unatakiwa utoe Tshs 50,000/= pyeeeeeeeeeeeee

Viongozi wa dini wahuni wahuni tu,eti mtu anaitwa Kuhani,Nabii,sijui Eagles church!
 
Hakuna Maombezi Zaidi Ni Upigaji Umehamishwa Mfumo Tu, Kwanza Halikuwa Na Lolote Sasa
Utaona Budget Zao Pesa Imeteketea Tu
Wahuni Tupu
 
Back
Top Bottom