Tamasha la Muziki na kuabudu TAG

Tamasha la Muziki na kuabudu TAG

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Juzi Ijumaa nilibahatika nikawa Dodoma, kichwa kilikuwa kimechokaaa kwasababu nilienda Dodoma msibani, pia homa kali ilinianza ghafla, nikaazimia moyoni leo naenda kulala kanisani. yalipita magari yanatangaza kuwa kuna tamasha la muziki chuo cha Biblia kule mipango, nikaenda. nilikuwa na kiu ya kukutana na Mungu sijawahi pata kiu kama ile, namshukuru Mungu nilikutana na Mungu. natamani nikae uweponi mwake maisha yangu yote. nilijifunza yafuatayo katika uimbaji:-

1. Mungu anakaa katika sifa na kuabudu.
2. kusifu kunawapasa wanyoofu wa moyo. kabla ya kusifu na kuabudu, jitakase na sifu kwa Roho, Mungu atakushukia.
3. Roho Mtakatifu huwa anashuka katika sifa. na akishuka hutabaki kama ulivyokuwa.
4. Makanisa mengi ya TAG na mengine mengi yameweka sifa na kuabudu pembeni, yanapasa yarejeshe sifa na kuabudu zichukue nafasi kubwa zaidi kwasababu ndiko Mungu anapatikana. utakuta hata katika vipindi vya kawaida, sifa na kuabudu inachukua nafasi ndogo sana, makwaya ya ajabu ajabu yasiyo hata na upako yanachukua muda mwingiii, halafu Neno la Mungu kidogo, wanamalizia na matangazo marefuuuu. ibada imeisha. hilo libadilike.

5. Askofu Mtokambali alikuwepo. alihubiri kwamba kuna uwezekano kuabudu kwingi hatuhudumiwi na Mungu kwasababu wanakwaya wengine huwa wanaimbisha pale mbele wakati wachafu tu, wazinzi na hawajajitakasa, hivyo ibada yote inakuwa haina upako.

6. huduma ya uimbaji kwa maana ya kusifu na kuabudu ni huduma kubwa sana na takatifu, kwa wale walioitiwa nayo inawapasa waishi maisha matakatifu kwasababu kupitia hiyo Mungu huwa anakutana na maisha ya watu kwa sehemu kubwa sana.

7. Nilisifu kwa nguvu zangu zote, na kuabudu kwa moyo wangu wote, na kucheza kwa jinsi nilivyojaliwa, nikatoka pale moyo umeburudikaaa, nafsi imeburudikaaa, nina amaniiiiiii,nikajifunza kuwa ukiweka sehemu kubwa ya kusifu na kuabudu kunaongeza hata maisha ya kuishi kwasababu utaacha stress zote za maisha pale, utaondoka umeburudika una furaha na amani unaenda nayo nyumbani kwako.

8. nchi zingine kama South Africa na kwengine, matamasha haya ni ya kila wakati, unaweza kukuta wameweka matamasha ya kuzunguka nchi nzima, watu waabuduuuu.

9. Waimbaji wanatakiwa kutumia karama hii Mungu amewapa kwasababu wasipofanya hivyo Mungu atawadai. waliokuwepo wanakumbuka Dr.Ipyana, na yule dogo mwengine mnyakyusa sijui jina gani, waliabudisha, Mungu alishuka balaa. nikajua kumbe sio kila mtu anaweza kuimbisha, wengine tunatakiwa kuimbishiwa na kusogezwa kitini kwa Mungu kwa njia ya uimbaji na watu waliopewa karama hiyo na Mungu. Mungu awabariki sana waimbishaji wale wote.

10. Roho Mtakatifu alifurika nina amani hadi sasa ambayo inapita akili zote, na ninatamani maisha yangu yote nisitoke hapa kwenye hii hali. sisi wote ni wanadamu, kwa wale ambao wameokoka wanajua kuwa kuna wakati unaweza kujichanganya Roho akasizi, lakini kwa kuabudu na kumsifu Mungu kwa Roho na Kweli, Roho Mtakatifu huwa anashuka tena na kufurika ndani yako. kwasababu hiyo unakuwa renewed na kupata nguvu mpya ya kuendelea katika safari ya Mbinguni. kuna mengi, sitaweka yote hapa.mbarikiwe.

11. Tanzania ni nchi mojawapo iliyopoa sana kuhusiana na matamasha, watu hawana mwamko, inatakiwa iwe kama nchi zingine, ukisikia kuna tamasha la kusifu na kuabudu unafurahi kabisa kwasababu unajua umepata sehemu ya kwenda kupunguza stress za maisha na kukutana na mafuta ya Mungu. mafuta yapo wakati wowote ila kwenye kuabudu na kusifu ni opportunity zaidi kwasababu ndiko kisima huwa kinatibuka na atakayekuwa tayari kudaka baraka za Bwana anadaka na kupata breakthrough. mwenye sikio na asikio Neno hili.
 
Hawakukuchaji Kiingilio? Wapigaji ni Wengi Siku hizi na Wanatumia mbinu Mbalimbali ....! Wengine Wanatumia Kutajataja neno Mungu au njia Ya gospel music Kupiga Mkwanja...!
 
Hawakukuchaji Kiingilio? Wapigaji ni Wengi Siku hizi na Wanatumia mbinu Mbalimbali ....! Wengine Wanatumia Kutajataja neno Mungu au njia Ya gospel music Kupiga Mkwanja...!
it was free of charge, na kila mtu aliingia buree. nilikesha hadi mchungaji anatangaza kwamba sasahivi ni saa kumi za asubuhi sikuamini, bado nilikuwa nimesimama nabubujika, nilitamani tukae pala hata mwaka mzima. free of charge.
 
Hongeraa kwa kushirikii ...karibu sana TAG tunapenda wagenii[emoji847][emoji847][emoji847]
 
Hongeraa kwa kushirikii ...karibu sana TAG tunapenda wagenii[emoji847][emoji847][emoji847]
ulikuwepo? natamani tamasha lingine kama lile liwepo. nilisikia Arusha liliwahi kuwepo la FPTC. matamasha kama haya yanahitajika. ni muhimu sana.
 
ulikuwepo? natamani tamasha lingine kama lile liwepo. nilisikia Arusha liliwahi kuwepo la FPTC. matamasha kama haya yanahitajika. ni muhimu sana.
Hapana sikuwepo nilitamani kufika ila nilibanwa ..mimi pia ni mdau wa hayo mambo mwezi wa 6 tulikuwa hapo na kongamono Ca's
 
Hapana sikuwepo nilitamani kufika ila nilibanwa ..mimi pia ni mdau wa hayo mambo mwezi wa 6 tulikuwa hapo na kongamono Ca's
wonderful. actually nikiwa Dodoma ule ukumbi ndio huwa ni kanisa langu. kwasababu pale kuna wanafunzi wengi wachungaji huwa naamini na ninaona hapana mchezo mchezo wala mambo ya ajabu. mkiwa pale watu ni kumwabudu Mungu tu hakuna longolongo. juzi nilibahatika kufanya mkesha ule na Askofu Mkuu, ilikuwa faya balaa. namshukuru Mungu ilikuwa siku yangu ya kupona. before that the whole day shetani aliniletea vitimbi vingiii ili nisiende, nikaenda pale saa tatu usiku, nikakuta ndo wanataka kuanza. sitasahau.
 
wonderful. actually nikiwa Dodoma ule ukumbi ndio huwa ni kanisa langu. kwasababu pale kuna wanafunzi wengi wachungaji huwa naamini na ninaona hapana mchezo mchezo wala mambo ya ajabu. mkiwa pale watu ni kumwabudu Mungu tu hakuna longolongo. juzi nilibahatika kufanya mkesha ule na Askofu Mkuu, ilikuwa faya balaa. namshukuru Mungu ilikuwa siku yangu ya kupona. before that the whole day shetani aliniletea vitimbi vingiii ili nisiende, nikaenda pale saa tatu usiku, nikakuta ndo wanataka kuanza. sitasahau.
Oow karibu sana ukimwamini Yesu anaponya vyotee
 
Juzi Ijumaa nilibahatika nikawa Dodoma, kichwa kilikuwa kimechokaaa kwasababu nilienda Dodoma msibani, pia homa kali ilinianza ghafla, nikaazimia moyoni leo naenda kulala kanisani. yalipita magari yanatangaza kuwa kuna tamasha la muziki chuo cha Biblia kule mipango, nikaenda. nilikuwa na kiu ya kukutana na Mungu sijawahi pata kiu kama ile, namshukuru Mungu nilikutana na Mungu. natamani nikae uweponi mwake maisha yangu yote. nilijifunza yafuatayo katika uimbaji:-

1. Mungu anakaa katika sifa na kuabudu.
2. kusifu kunawapasa wanyoofu wa moyo. kabla ya kusifu na kuabudu, jitakase na sifu kwa Roho, Mungu atakushukia.
3. Roho Mtakatifu huwa anashuka katika sifa. na akishuka hutabaki kama ulivyokuwa.
4. Makanisa mengi ya TAG na mengine mengi yameweka sifa na kuabudu pembeni, yanapasa yarejeshe sifa na kuabudu zichukue nafasi kubwa zaidi kwasababu ndiko Mungu anapatikana. utakuta hata katika vipindi vya kawaida, sifa na kuabudu inachukua nafasi ndogo sana, makwaya ya ajabu ajabu yasiyo hata na upako yanachukua muda mwingiii, halafu Neno la Mungu kidogo, wanamalizia na matangazo marefuuuu. ibada imeisha. hilo libadilike.

5. Askofu Mtokambali alikuwepo. alihubiri kwamba kuna uwezekano kuabudu kwingi hatuhudumiwi na Mungu kwasababu wanakwaya wengine huwa wanaimbisha pale mbele wakati wachafu tu, wazinzi na hawajajitakasa, hivyo ibada yote inakuwa haina upako.

6. huduma ya uimbaji kwa maana ya kusifu na kuabudu ni huduma kubwa sana na takatifu, kwa wale walioitiwa nayo inawapasa waishi maisha matakatifu kwasababu kupitia hiyo Mungu huwa anakutana na maisha ya watu kwa sehemu kubwa sana.

7. Nilisifu kwa nguvu zangu zote, na kuabudu kwa moyo wangu wote, na kucheza kwa jinsi nilivyojaliwa, nikatoka pale moyo umeburudikaaa, nafsi imeburudikaaa, nina amaniiiiiii,nikajifunza kuwa ukiweka sehemu kubwa ya kusifu na kuabudu kunaongeza hata maisha ya kuishi kwasababu utaacha stress zote za maisha pale, utaondoka umeburudika una furaha na amani unaenda nayo nyumbani kwako.

8. nchi zingine kama South Africa na kwengine, matamasha haya ni ya kila wakati, unaweza kukuta wameweka matamasha ya kuzunguka nchi nzima, watu waabuduuuu.

9. Waimbaji wanatakiwa kutumia karama hii Mungu amewapa kwasababu wasipofanya hivyo Mungu atawadai. waliokuwepo wanakumbuka Dr.Ipyana, na yule dogo mwengine mnyakyusa sijui jina gani, waliabudisha, Mungu alishuka balaa. nikajua kumbe sio kila mtu anaweza kuimbisha, wengine tunatakiwa kuimbishiwa na kusogezwa kitini kwa Mungu kwa njia ya uimbaji na watu waliopewa karama hiyo na Mungu. Mungu awabariki sana waimbishaji wale wote.

10. Roho Mtakatifu alifurika nina amani hadi sasa ambayo inapita akili zote, na ninatamani maisha yangu yote nisitoke hapa kwenye hii hali. sisi wote ni wanadamu, kwa wale ambao wameokoka wanajua kuwa kuna wakati unaweza kujichanganya Roho akasizi, lakini kwa kuabudu na kumsifu Mungu kwa Roho na Kweli, Roho Mtakatifu huwa anashuka tena na kufurika ndani yako. kwasababu hiyo unakuwa renewed na kupata nguvu mpya ya kuendelea katika safari ya Mbinguni. kuna mengi, sitaweka yote hapa.mbarikiwe.

11. Tanzania ni nchi mojawapo iliyopoa sana kuhusiana na matamasha, watu hawana mwamko, inatakiwa iwe kama nchi zingine, ukisikia kuna tamasha la kusifu na kuabudu unafurahi kabisa kwasababu unajua umepata sehemu ya kwenda kupunguza stress za maisha na kukutana na mafuta ya Mungu. mafuta yapo wakati wowote ila kwenye kuabudu na kusifu ni opportunity zaidi kwasababu ndiko kisima huwa kinatibuka na atakayekuwa tayari kudaka baraka za Bwana anadaka na kupata breakthrough. mwenye sikio na asikio Neno hili.
tena hiyo mikesha waimba kwaya baazi sio waamifu kabisa tena inaniuma na kuona bora kuoa asie na dinianakua muaminifu
 
tena hiyo mikesha waimba kwaya baazi sio waamifu kabisa tena inaniuma na kuona bora kuoa asie na dinianakua muaminifu
tofautisha mikesha ya kuimba kwaya, na mikesha ya kuabudu kusifu na kuomba. ile mnaabudu na kuomba mfululizo hadi asubuhi unaiona hii hapa. pia, kuhusu waimba kwaya, au watu wowote wale walio wazinzi, wapo kila sehemu kwasababu shetani yupo kila sehemu. cha muhimu wewe kama umeenda pale kumtafuta Mungu kamtafute Mungu utamwona, anayetoka nje kushadadia uzinzi atakula matunda ya uzinzi wake.

but kwa walokole, mikesha pia huwa sehemu muhimu kumjua mtu kama ni wa kiroho au la na kama anafaa kuoa au la. simaanishi kwamba wanatestiana kuzini hapana, anayezini awe kanisani au nje ya kanisa anajuana yeye na Mungu wake na adhabu ataipata kama hatatubu na kuacha. uwepo wa wazinzi wachache hautufanyi tuseme mikesha mibaya. ni mizuri sana na ya muhimu. shetani kukuonyesha wazinzi kadhaa ili ufikiri mikesha ni ya uzinzi ukose nafasi ya kukutana na Mungu, amekuweza.
 
tofautisha mikesha ya kuimba kwaya, na mikesha ya kuabudu kusifu na kuomba. ile mnaabudu na kuomba mfululizo hadi asubuhi unaiona hii hapa. pia, kuhusu waimba kwaya, au watu wowote wale walio wazinzi, wapo kila sehemu kwasababu shetani yupo kila sehemu. cha muhimu wewe kama umeenda pale kumtafuta Mungu kamtafute Mungu utamwona, anayetoka nje kushadadia uzinzi atakula matunda ya uzinzi wake.

but kwa walokole, mikesha pia huwa sehemu muhimu kumjua mtu kama ni wa kiroho au la na kama anafaa kuoa au la. simaanishi kwamba wanatestiana kuzini hapana, anayezini awe kanisani au nje ya kanisa anajuana yeye na Mungu wake na adhabu ataipata kama hatatubu na kuacha. uwepo wa wazinzi wachache hautufanyi tuseme mikesha mibaya. ni mizuri sana na ya muhimu. shetani kukuonyesha wazinzi kadhaa ili ufikiri mikesha ni ya uzinzi ukose nafasi ya kukutana na Mungu, amekuweza.
siku zote wafanya ibada wanatakiwa wawe mifano kwa wale wasio fanya ibada ili wasio fanya ibada waone ni njia bora kumuna mungu hii issu ilinitesa sana na baaba ya kuifutilia nikaino wengi pale kwanza wamezalishwa bila kuolewa pili wengine wakawa wana mahusioano palepale.nikachukia kabisa mambo ni mengi sana muda ni mfupi
 
siku zote wafanya ibada wanatakiwa wawe mifano kwa wale wasio fanya ibada ili wasio fanya ibada waone ni njia bora kumuna mungu hii issu ilinitesa sana na baaba ya kuifutilia nikaino wengi pale kwanza wamezalishwa bila kuolewa pili wengine wakawa wana mahusioano palepale.nikachukia kabisa mambo ni mengi sana muda ni mfupi
madhaifu ya aina hiyo yapo kila sehemu. wewe pia unaonekana unayo madhaifu hayo sana ndio na hujabadilika ndio maana huamini kama pale kuna watu waliobadilika. unasema huwa wanakuwepo waliozalishwa, ndio, waliozalishwa pia wanakaribishwa kwa Bwana, Yesu alikuja kwaajili ya wenye dhambi sio kwa watakatifu. kuhusu wale wanaofanya ibada kuwa mfano, sikushauri utegemee maisha ya wengine kuamua hatima ya maisha yako, hao wanayo maisha yao, na wewe unayo ya kwako, kila mtu atatoa hesabu ya maisha yake binafsi, kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.

wanaosali sio malaika, huwa wanakosea na Mungu huwa anawasamehe. wewe unawahesabia dhambi zaidi kwa kujiona pengine wewe ni mtakatifu, kumbe pengine umeoza na shetani amekupiga upofu uendelee kubaki katika hali hiyo hadi siku ya mwisho. wale wamejiona wenye dhambi wamezalishwa, wamekuwa wazinzi wakakimbilia makanisani, wanaseza kuwa wanateleza hapa na pale lakini wanarudi kwa Mungu wao, wewe unajiona mtakatifu unanyooshea vidole wenzio, kumbe umakalia kuti kavu.
 
tena hiyo mikesha waimba kwaya baazi sio waamifu kabisa tena inaniuma na kuona bora kuoa asie na dinianakua muaminifu
Hahahaha kwenye msafara wa mamba na kenge wapo....kila sehemu inahitajii Mungu ukiingia kichwakichwaa umeenda na maji
 
Juzi Ijumaa nilibahatika nikawa Dodoma, kichwa kilikuwa kimechokaaa kwasababu nilienda Dodoma msibani, pia homa kali ilinianza ghafla, nikaazimia moyoni leo naenda kulala kanisani. yalipita magari yanatangaza kuwa kuna tamasha la muziki chuo cha Biblia kule mipango, nikaenda. nilikuwa na kiu ya kukutana na Mungu sijawahi pata kiu kama ile, namshukuru Mungu nilikutana na Mungu. natamani nikae uweponi mwake maisha yangu yote. nilijifunza yafuatayo katika uimbaji:-

1. Mungu anakaa katika sifa na kuabudu.
2. kusifu kunawapasa wanyoofu wa moyo. kabla ya kusifu na kuabudu, jitakase na sifu kwa Roho, Mungu atakushukia.
3. Roho Mtakatifu huwa anashuka katika sifa. na akishuka hutabaki kama ulivyokuwa.
4. Makanisa mengi ya TAG na mengine mengi yameweka sifa na kuabudu pembeni, yanapasa yarejeshe sifa na kuabudu zichukue nafasi kubwa zaidi kwasababu ndiko Mungu anapatikana. utakuta hata katika vipindi vya kawaida, sifa na kuabudu inachukua nafasi ndogo sana, makwaya ya ajabu ajabu yasiyo hata na upako yanachukua muda mwingiii, halafu Neno la Mungu kidogo, wanamalizia na matangazo marefuuuu. ibada imeisha. hilo libadilike.

5. Askofu Mtokambali alikuwepo. alihubiri kwamba kuna uwezekano kuabudu kwingi hatuhudumiwi na Mungu kwasababu wanakwaya wengine huwa wanaimbisha pale mbele wakati wachafu tu, wazinzi na hawajajitakasa, hivyo ibada yote inakuwa haina upako.

6. huduma ya uimbaji kwa maana ya kusifu na kuabudu ni huduma kubwa sana na takatifu, kwa wale walioitiwa nayo inawapasa waishi maisha matakatifu kwasababu kupitia hiyo Mungu huwa anakutana na maisha ya watu kwa sehemu kubwa sana.

7. Nilisifu kwa nguvu zangu zote, na kuabudu kwa moyo wangu wote, na kucheza kwa jinsi nilivyojaliwa, nikatoka pale moyo umeburudikaaa, nafsi imeburudikaaa, nina amaniiiiiii,nikajifunza kuwa ukiweka sehemu kubwa ya kusifu na kuabudu kunaongeza hata maisha ya kuishi kwasababu utaacha stress zote za maisha pale, utaondoka umeburudika una furaha na amani unaenda nayo nyumbani kwako.

8. nchi zingine kama South Africa na kwengine, matamasha haya ni ya kila wakati, unaweza kukuta wameweka matamasha ya kuzunguka nchi nzima, watu waabuduuuu.

9. Waimbaji wanatakiwa kutumia karama hii Mungu amewapa kwasababu wasipofanya hivyo Mungu atawadai. waliokuwepo wanakumbuka Dr.Ipyana, na yule dogo mwengine mnyakyusa sijui jina gani, waliabudisha, Mungu alishuka balaa. nikajua kumbe sio kila mtu anaweza kuimbisha, wengine tunatakiwa kuimbishiwa na kusogezwa kitini kwa Mungu kwa njia ya uimbaji na watu waliopewa karama hiyo na Mungu. Mungu awabariki sana waimbishaji wale wote.

10. Roho Mtakatifu alifurika nina amani hadi sasa ambayo inapita akili zote, na ninatamani maisha yangu yote nisitoke hapa kwenye hii hali. sisi wote ni wanadamu, kwa wale ambao wameokoka wanajua kuwa kuna wakati unaweza kujichanganya Roho akasizi, lakini kwa kuabudu na kumsifu Mungu kwa Roho na Kweli, Roho Mtakatifu huwa anashuka tena na kufurika ndani yako. kwasababu hiyo unakuwa renewed na kupata nguvu mpya ya kuendelea katika safari ya Mbinguni. kuna mengi, sitaweka yote hapa.mbarikiwe.

11. Tanzania ni nchi mojawapo iliyopoa sana kuhusiana na matamasha, watu hawana mwamko, inatakiwa iwe kama nchi zingine, ukisikia kuna tamasha la kusifu na kuabudu unafurahi kabisa kwasababu unajua umepata sehemu ya kwenda kupunguza stress za maisha na kukutana na mafuta ya Mungu. mafuta yapo wakati wowote ila kwenye kuabudu na kusifu ni opportunity zaidi kwasababu ndiko kisima huwa kinatibuka na atakayekuwa tayari kudaka baraka za Bwana anadaka na kupata breakthrough. mwenye sikio na asikio Neno hili.
Hakika mkuu. Karibu tumfanyie Mungu Ibada Tarehe 8/12/2021 Pale Tanganyika Packers. Ni mkesha wa kusifu na kuabudu lakini zaidi kuiombea Nchi yetu ya Tanzania.

Ibada hii imeandaliwa na Mtumishi wa Mungu Paul Mwangosi akishirikiana na MOYO WA IBADA na TANZANIA PRAISE TEAM.
Ni usiku wa kipekee kumfanyia MUNGU ibada. Karibu sana.

moyo wa ibada.jpeg
 
Hiv huyo Mungu wenu mnaesema yupo kila sehem, lkn bado mnaenda makanisan na mikesha kukutana nae tuwaeleweje? tangu hiyo mikesha yenu imeanza nini kimebadirika dunian?

kama vita, njaa, uonevu na uvunjikaji wa haki za watu, maonevu ya mataifa makubwa kwa mataifa masikin haukomi, magonjwa ya kutisha, huyo Mungu wenu mbona hayasolve haya matatizo?,

huyo Mungu wenu mtoa baraka mbona kawasahau watu wake huko ktk nchi za sudani, ethiopia, somalia na sehem zote zenye njaa? kwann anatak nyie mumpe sifa na sadaka ndipo arespond?

huyo Mungu wenu wa upendo kwanini aliwatumia wakolon kuleta imani yake afrika kwa kuwateketeza/kuwauwa mamilion ya waafrika kipind cha kueneza izo injil, ukwapi upendo wake na uhuru alompa mtu , kufanya apendalo?

huyo Mungu wenu anajuwa kuwaponya wale waendao makanisani tuu na vip kuhusu wagonjwa mahospitalin na watoto mayatima wasio na uwezo wa kutibu afya zao? ukwap upendo wa huyo Mungu wenu,?

hizo feelings zake anazowapa mpate kiu ya kumuabudu kwanin asingetumia izo feelings kuwashinikiza watu wabaya wasifanye maovu ama maonevu kwa viumbe wasiokuwa na hatia?

ukwel mchungu hakuna padri, askofu, nabii, mchungaj, mtume wala mwalimu atakae kujibu maswal haya bila kukutishia moto wa jehanamu na kusema mambo ya Mungu hayachunguzik et pale unapohoji maswali senseness,

dini na imani zote ni uongo na utapel ulioletwa na mkolon kutawala fikra za wapuuzi na wavivu wa kufikil.

Huyo Mungu wa dini hana sifa za kuwa Kiongoz wa dunia maana hana uwezo wowote wa kuisaida hii dunia.

Mungu wa dini hayupo na hataowai kuwepo, acheni upumbavu amkeni enyi watu wajinga.
FB_IMG_16368048513487064.jpg
 
Usikae mbali na accounts za makanisa ya CCC Upanga karibu kabisa na Mzumbe University, na Kinondoni Revival Church TAG yapo mara kwa mara.
ile kitu aisee, ni nzuri sana na inaburudisha moyo na kuinua kiroho. hasa pale inapokuwa haiimbwishwi na vijana wabana pua, sio unapoteza muda wako kwenda pale unakuta kakijana kamoja kanakuja pale mbele kanaimba sebene la kicongo mara anaimba kizungu kwa kushika pua....hahaha, inapendeza mtu akipanda pale anaimba toka moyoni wala sio kwa kuigiza wala kuimba kimwilimwili. nawapongeza sana Dr. ipyana na Gwamaka na wengine wote waliokuwepo.
 
TAG ilikuwa zamani siku hizi ni upigaji mtupu, ujanja ujanja na michanganyo. Waumini wamechoka na wachungaji wamechoka, mivurugano kwa kwenda mbele.
Mikesha pia ilikuwa zamani, siku hizi ni sehemu za kuuza sura vijana, kupunguzia stress na kufichia uhuni.

Tamasha halisi la kumwabudu Mungu kwa zama hizi linapaswa kupigwa mchana, kila kitu kiwe wazi na kila mtu awe huru kushiriki.
 
Back
Top Bottom