Tamasha la Umeme wa Upepo Duniani

thats possible

lakini hawa wenye special interest hawawezi kukubali hilo
 
Haya tuangalia maskini wenzetu wa maldives wanafanya nini kwenye hii ishu. Wakati sisi tunabakia kuota ndoto za alinacha za nyuklia wenzetu wanafanya kweli!


Kutoka hapa:BBC NEWS | Science & Environment | Carbon-neutral goal for Maldives

Mimi niko kwa Mchungaji kwenye hili. Utaalamu si kusomea kitu kama mojawapo ya masomo unayohitaji kufaulu ili upate digrii ya kwanza. Mtaalam ni yule aliyejikita zaidi katika particular subject. Kwa hali kuwaita electrical injiniaz wote kuwa wataalamu wa nishati ni kosa. Kama vile si civil injiniaz wote ni wataalamu wa structures! Kwa hali hiyo sidhani kama tuna wataalamu wa alternative energies Tanesco. Kuna electrical injiniaz kibao lakini hii haiwafanyi kuwa wataalamu wa hizi nishati mbadala.

Amandla.
 

Kuna thread nyingine humu ndani inayosuggest kuwa kuna conflict of interest because Mwakyembe is part of a company that is looking into wind power generation and him being the voice against Richmond and Dowans. Apparently this company has set up trails in Makambako and Singida.......
 

Tatizo ni kuwa hao unaowaita wataalamu hawasemi na sio kuwa hawasikilizwi! Lini umesikia mtaalamu amejiuzulu kwa sababu ushauri wake haukusikilizwa. Wataalamu wetu wamejiunga na wanasiasa kiasi ambacho hauwezi kuwatofautisha. Wao nao wako katika mkao wa kula kama walivyo hao uliowashikia bango! Badala ya ushauri wanasema kile ambacho wanadhani wakuu wao wangependa kusikia. Wao nao ni sehemu ya tatizo na si solution! So called wataalmu tumeji-prostitute kwa kupenda vyeo na rupia!

Wind energy ni sehemu tu ya possible solution. Tunahitaji watu watakaoweza kuangalia picha yote na kutushauri wapi tuelekee. Utaalamu tunaohitaji si wa kutengeneza mapanga boi au majiko ya kutumia jua bali ni ule wa kuanganisha yote haya kuwa policy! Tunahitaji visionaries zaidi ya mafundi mchundo.

Tofauti na unavyopenda kufikiri, sina ugomvi na wewe. Kwenye ishu hii, arguments za Mchungaji zimenivutia kuliko za kwako. Ni hilo tuu

Amandla........
 
Last edited:

Acheni siasa.maneno mingi mingi Mainjinia+Magwini,then what?? mnatishiana shule.au ecosystem(natural balance) haipandi nini??
 

Wasomi wa Tanzania ndio maana wanasemwa wana matatizo hivi kuhudhuria kozi lazima mwajiri akupe funds? Ukiona ni nzuri kuongeza upeo wako wa kujua mambo kwa nini usijigharimie mwenyewe ukaenda kwa savings zako.Wala si lazima uende na ndege waweza enda Afrika kusini kwa basi ukalala guest house ya bei poa uswahilini ukila kwa mama ntilie lakini ukarudi na elimu kubwa ya kukusaidia.

Nakutana na wakenya na wanigeria kwenye kozi nyingi za kimataifa wakiwa wanajilipia wenyewe.Wao hu-save pesa za personal development through international courses .wasomi wa Tanzania wanaudhi sana kila kitu mwajiri mwajiri ndio maana wengi wana knowledge outdated shauri ya kusubiri mwajiri na hata wakistaafu wanakuwa rejects ambazo hazihitajiki katika jamii maana hawako current kielimu.

Ukiona kozi nzuri chukua hata likizo ondoka nenda wacha blabla za mwajiri.
 
...tatizo la umeme ni policy zetu za kikoloni ambazo zinaleta rushwa zote za Dowans na IPTL na ndio sumu yote ya matatizo yote (nawashauri mziangalie labda mnaweza kuelewa nina maana gani),Wind na Gas tumebarikiwa na vinaweza kutupatia energy 100% kwa miaka mingi sana ijayo bila matatizo kama tukiweka policy zetu vizuri na tukapata serious leadership inayoelewa umuhimu wa investment na good policy katika energy....sijui kama mnajua Artumas(kampuni ya umeme wa gas kule mtwara) wamezalisha umeme na wanashindwa kuuza huku tukiambiwa hakuna umeme na waliomba kuzalisha 300MW lakini wakanyimwa kwa sababu stupi-d serikali/Tanesco hawawezi kununua huo umeme/hawahitaji huku wakituletea migawo,tanzania hatuna shida ya umeme ni bogus leadership tuu inatufanya tuishi kwa tabu za umeme expensive na migawo isiyokwisha amabyo effect yake kila kitu bei juu na maisha magumu kwa sababu gharama za uzalishaji ni kubwa sana,Gas tuliyonayo,Wind,hydro ni zaidi tunavyohitaji kumaliza shida ya umeme lakini serikali vilaza ya CCM ndio poison ya umaskini wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…