jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Huu ni mpambano wa kidiplomasia
Kucheka inaruhusiwa, kutania shuruti uwe na qualifications.
Kétiila mukúmbo na Tundu Lêsů ni mtu na mtani wake. Ni watani ndugu hawa.
Hapo zamani za kale Wanyiramba (kétiila mukúmbo) walikuwa na sifa njema na za kupigiwa mfano dhidi ya watani zao wanyaturu (Tundu Lêsů).
Kwa miongo kadhaa sasa wanyiramba wameporomoka kutoka kwenye sifa zao njema za uaminifu, utetezi wa wanyonge, wakombozi wa mateka na kuwa watu wanaoaminika kwa mashaka mashaka.
Tunao mifano ya watu wa jamii hizi mbili wanaotumikia jamii kwa nafasi tofauti tofauti natuwahukumu kwa matendo yao ili tu-prove pamoja nilichokiandika.
Wanyiramba:-
Lameeki Madelu
Kétiila mukúmbo
Mohammed Mpíínga
.
.
.
.
Wanyaturu hawa hapa:-
Lazaro Nyalandu
Tundu Lêsů
Ernest Mängů
.
.
.
.
Ni Mohamed Mpíínga pekee kati ya wanyiramba niliowataja wanyiramba wanaweza kujivunia uadilifu na utenda kazi wake kwa jamii ya watanzania, the rest..........
Kwa wanyaturu labda Nyalandu pekee ndiye alitia doa kiasi fulani.
Upande unaoelemewa na tuhuma unanihusu.
Je uprofesa una madhara kwa jamii?
Kucheka inaruhusiwa, kutania shuruti uwe na qualifications.
Kétiila mukúmbo na Tundu Lêsů ni mtu na mtani wake. Ni watani ndugu hawa.
Hapo zamani za kale Wanyiramba (kétiila mukúmbo) walikuwa na sifa njema na za kupigiwa mfano dhidi ya watani zao wanyaturu (Tundu Lêsů).
Kwa miongo kadhaa sasa wanyiramba wameporomoka kutoka kwenye sifa zao njema za uaminifu, utetezi wa wanyonge, wakombozi wa mateka na kuwa watu wanaoaminika kwa mashaka mashaka.
Tunao mifano ya watu wa jamii hizi mbili wanaotumikia jamii kwa nafasi tofauti tofauti natuwahukumu kwa matendo yao ili tu-prove pamoja nilichokiandika.
Wanyiramba:-
Lameeki Madelu
Kétiila mukúmbo
Mohammed Mpíínga
.
.
.
.
Wanyaturu hawa hapa:-
Lazaro Nyalandu
Tundu Lêsů
Ernest Mängů
.
.
.
.
Ni Mohamed Mpíínga pekee kati ya wanyiramba niliowataja wanyiramba wanaweza kujivunia uadilifu na utenda kazi wake kwa jamii ya watanzania, the rest..........
Kwa wanyaturu labda Nyalandu pekee ndiye alitia doa kiasi fulani.
Upande unaoelemewa na tuhuma unanihusu.
Je uprofesa una madhara kwa jamii?