Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
Leo nimemwona usiku huu Tambwe Hizza katika taarifa ya habari Channel 10 akikanusha statement ya Dr Slaa kwamba kuna njama zinazosukwa na taasisi za dola kukihujumu Chadema katika uchaguzi ili kukinyima ushindi.
Huyu Tambwe Hizza tangu lini kawa msemaji wa serikali? Tuhuma za Dr Slaa zilielekezwa kwa serikali siyo CCM.
Kaka nchi haina utawala imeparanganyika rais ndo huyo anahahaa ,kila mti unateleza unategemea nini
Leo nimemwona usiku huu Tambwe Hizza katika taarifa ya habari Channel 10 akikanusha statement ya Dr Slaa kwamba kuna njama zinazosukwa na taasisi za dola kukihujumu Chadema katika uchaguzi ili kukinyima ushindi.
Huyu Tambwe Hizza tangu lini kawa msemaji wa serikali? Tuhuma za Dr Slaa zilielekezwa kwa serikali siyo CCM.
KULALA NA MAMA YAKO MZAZI NI KUFURU TUPU au sio mana hakuwa kukanusha maneno yake....Waandishi wa Uhuru wamuulize au sio:eyebrows:ushauri:tambwe akiwa upinzani alishawahi kusema akirudi ccm labda alale na mama yake,sasa karudi ccm,gues what!ni laana hiyo inayomsumbua tambwe,upupu mtupu hakuna cha maana anachoweza kuongea,nilibadilisha station baada ya kuona sura yake
ushauri:tambwe akiwa upinzani alishawahi kusema akirudi ccm labda alale na mama yake,sasa karudi ccm,gues what!ni laana hiyo inayomsumbua tambwe,upupu mtupu hakuna cha maana anachoweza kuongea,nilibadilisha station baada ya kuona sura yake