TAMISEMI acheni tabia hii. Ni Kama uhuni

TAMISEMI acheni tabia hii. Ni Kama uhuni

Sharbel

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
1,393
Reaction score
2,759
Hivi karibuni TAMISEMI wametoa chaguzi za kidato cha tano, na za Vyuo vya Elimu ya Ufundi.

Kwa upande wa kidato cha tano, tarehe wametoa mapema, sijajua upande wa joining instruction, ila upande wa walio pangiwa Vyuo vya Elimu ya Ufundi, ni mtihani.

Waziri wa TAMISEMI aliyasema haya wakati akitangaza chaguzi za kidato cha tano na Vyuo vya Elimu ya Ufundi.

'Ndugu Wanahabari, kwa wanafunzi waliopangwa kwenye Vyuo vya Elimu ya Ufundi watapokea maelekezo ya namna ya kujiunga kutoka katika Vyuo walivyopangwa"

Uhuni ni kuwa kuna baadhi ya vyuo havina website wala account yoyote kwenye mitandao ya kijamii, je hao mliowapangia watapata maelekezo hayo kwa namna gani?
 
Hivi karibuni TAMISEMI wametoa chaguzi za kidato cha tano, na za Vyuo vya Elimu ya Ufundi.

Kwa upande wa kidato cha tano, tarehe wametoa mapema, sijajua upande wa joining instruction, ila upande wa walio pangiwa Vyuo vya Elimu ya Ufundi, ni mtihani.

Waziri wa TAMISEMI aliyasema haya wakati akitangaza chaguzi za kidato cha tano na Vyuo vya Elimu ya Ufundi.

'Ndugu Wanahabari, kwa wanafunzi waliopangwa kwenye Vyuo vya Elimu ya Ufundi watapokea maelekezo ya namna ya kujiunga kutoka katika Vyuo walivyopangwa"

Uhuni ni kuwa kuna baadhi ya vyuo havina website wala account yoyote kwenye mitandao ya kijamii, je hao mliowapangia watapata maelekezo hayo kwa namna gani?
kwann asiende chuo chenyewe husika alichopangwa
Lakini pia joining instructions huwa inatumwa kupitia address aliyoandika mwanadunzi
 
kwann asiende chuo chenyewe husika alichopangwa
Lakini pia joining instructions huwa inatumwa kupitia address aliyoandika mwanadunzi
Anaenda lini ? Mtu yupo huko mtwara kapangiwa kilimanjaro ndio aende kufuatilia ?
Hivi unajua kuna wengine walijaza machaguo yao kwa hardcopy na hawakubadili kwenye hii system ya mtandaoni, na hivyo hiyo form haina mawasiliano ya huyo mwanafunzi, wanamtumia vipi sasa ?

Kwanza hawatumi tu, yani usipojiongeza inakula kwako, na hiyo inaleta usumbufu sana kwa wazazi.
 
Back
Top Bottom