Katika hilo Mh N/Spika kuna shida kubwa sana TAMISEMI kuhusu matumizi mabaya ya fedha bila kuangalia changamoto.
Mfano: Kuna tamko lilitolewa awamu iliyopita kuwa Halmashauri ziende kwenye maeneo yao ya kiutawala.
Sasa utakuta wapo nje ya jiografia ya huduma na pia unaanza gharama za ujenzi wa ofisi za halmashauri na nyumba za watumishi.
Tatizo hilo lipo pale MUFINDI DC na IRINGA DC
Hatuna vipaumbele vya msingi katika Halmashauri zetu kiss tupo ndani ya halmashauri nyingine
Mfano: Kuna tamko lilitolewa awamu iliyopita kuwa Halmashauri ziende kwenye maeneo yao ya kiutawala.
Sasa utakuta wapo nje ya jiografia ya huduma na pia unaanza gharama za ujenzi wa ofisi za halmashauri na nyumba za watumishi.
Tatizo hilo lipo pale MUFINDI DC na IRINGA DC
Hatuna vipaumbele vya msingi katika Halmashauri zetu kiss tupo ndani ya halmashauri nyingine