TAMISEMI bajeti yenu siielewi

TAMISEMI bajeti yenu siielewi

Mwemary

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2016
Posts
330
Reaction score
340
Wizara ya TAMISEMI bajeti yao siielewi kwani inaonekana bora ya jafoo kuliko alieopo ni hatari nyumba zinajengwa kwa mamilioni ya pesa mfano kuna nyumba nimeona inajegwa kwa 830m nyingine uzio tu 170 M hivi mnatutendea haki vijana wa kitanzania na wananchi kwa ujumla. Mlidanganya ajira za waalimu mpk sas hivi kimya mlisema mnasubiri kibali hicho kibali kinatoka USA?

Wizara hazina coordination kila wizara inafanya kazi kivyake yaaani utafikiri kila wizara inatumikia serikali yake.Huu ni wizi mwingine mmbaya wanaofanyiwa watanzania wengi wanakaaa kwenye nyumba za tembe.

Halafu zaidi ya mamilioni yanatumika kwa ajili ya viongozi. Ndio maana wazungu wanatuambia tuna akili za nyani mambo yenyewe ya ajabu toeni ajira jamani.
 
Hii bajeti iliandaliwa na TAMISEMI kabla Jafo hajaondolewa, ndicho ambacho kilipelea Jafo kuondolewa pale kwa maana TAMISEMI inatumia pesa ambazo hawazikusanyi wao.

Mama Samia alisema "Nyie Tamisemi kazi yenu imekuwa kutumia tu pesa za serikali ambazo hamkuzikusanya"
 
Hii bajeti iliandaliwa na TAMISEMI kabla Jafo hajaondolewa, ndicho ambacho kilipelea Jafo kuondolewa pale kwa maana TAMISEMI inatumia pesa ambazo hawazikusanyi wao.

Mama Samia alisema "Nyie Tamisemi kazi yenu imekuwa kutumia tu pesa za serikali ambazo hamkuzikusanya"
Nilijua tu haya yatakuwa majibu lakini siwangeandaaa upya kwa kulikuwa na uharaka gani wa kuwasilisha bajeti hiyo
 
Wizara ya TAMISEMI bajeti yao siielewi kwani inaonekana bora ya jafoo kuliko alieopo ni hatari nyumba zinajengwa kwa mamilioni ya pesa mfano kuna nyumba nimeona inajegwa kwa 830m nyingine uzio tuu 170m hivi mnatutendea haki vijana wa kitanzania na wananchi kwa ujumla...
Yaani kwa akili zako unajua Waziri ndiye anaandaa Bajeti?

Na kwa akili yako unafikiri Bajeti iliyosomwa mwezi wa 4 imeandaliwa wiki iliyopita?

Rudi tena kaangalie mchakato wa Bajeti, halafu urudi tena hapa urekebishe Nyuzi yako.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Unahasira Sana, ukipunguza hasira, utaandika vizuri ukaeleweka!!
 
Yaani kwa akili zako unajua Waziri ndiye anaandaa Bajeti?

Na kwa akili yako unafikiri Bajeti iliyosomwa mwezi wa 4 imeandaliwa wiki iliyopita?

Rudi tena kaangalie mchakato wa Bajeti, halafu urudi tena hapa urekebishe Nyuzi yako.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sawa mama umy
 
Back
Top Bottom