TAMISEMI elezeni kwa uwazi hatua za kufuata ili kuwalalamikia Wakurugenzi

TAMISEMI elezeni kwa uwazi hatua za kufuata ili kuwalalamikia Wakurugenzi

Standards Person

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2021
Posts
672
Reaction score
860
Ninaomba kujua kwa uwazi hatua sahihi za kufuata pindi ninapotaka kufikisha malalamiko yangu dhidi ya Wakurugenzi na Wakuu wengine wa idara ambao wanafanya ofisi za umma kama kampuni zao.

Waziri Ummy Mwalimu aliwasimamisha kazi Wakurugenzi baadhi kwa kauli kwamba wananchi walifikisha malalamiko dhidi yao.

Mimi pia ninataka kumpelekea Ummy malalamiko ya namna halmashauri inavy swagwa nione kama Ummy atamsimamisha mtu kazi.
 
Kuna mmoja huku Simiyu akiondoka tu na office nayo imeondoka yaani hakuna delegation of power mambo yote yanalala. Nchi hii inabidi tubadili vigezo vya namna ya kupata viongozi maana kiongozi anaepatikani kwa RUSHWA au kwa IHSAN ya mtu fulani ufanisi wao NI mdogo sana.
 
Kuna mmoja huku Simiyu akiondoka tu na office nayo imeondoka yaani hakuna delegation of power mambo yote yanalala. Nchi hii inabidi tubadili vigezo vya namna ya kupata viongozi maana kiongozi anaepatikani kwa RUSHWA au kwa IHSAN ya mtu fulani ufanisi wao NI mdogo sana.
Tanga ameondoka mmoja. Unasubiriwa mkeka sijui unakamilika lini. Mungu ashushe rehema zake tuepukane na hilo balaa.
Ukiona mtu anatetea waliopo pale ujue kama hana tatizo kichwani basi ananufaika nao.
 
Ninaomba kujua kwa uwazi hatua sahihi za kufuata pindi ninapotaka kufikisha malalamiko yangu dhidi ya wakurugenzi na wakuu wengine wa idara ambao wanafanya ofisi za umma kama kampuni zao

Ummy mwalimu aliwasimamisha kazi wakurugegenzi baadhi kwakauli kwamba wananchi walifikisha malalamiko dhidi yao.
Mimi pia ninataka kumpelekea Ummy malalamiko ya namna halmashauri inavyo swagwa nione kama Ummy atamsimamisha mtu kazi
Nawe umechosha kila siku kulalama hapa JF kuhusu DED wa Tanga, Hivi amekuchukulia bwana?
 
Back
Top Bottom