LGE2024 Tamisemi iko ofisi ya Rais. Kikatiba Rais ndiye Waziri wa Tamisemi. Mchengerwa hastahili lawama

LGE2024 Tamisemi iko ofisi ya Rais. Kikatiba Rais ndiye Waziri wa Tamisemi. Mchengerwa hastahili lawama

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
Wachambuzi wa Kisiasa ni lazima waelewe suala hili.

Tamisemi iko chini ya Ofisi ya Raisi.

Kwa msingi huo Raisi ndiye Waziri wa Tamisemi.

Waziri wa Nchi ofisi ya Raisi / Makamu wa Raisi / Waziri Mkuu sio full Cabinet Minister.

Kwa hiyo kama kuna lawama kwamba Uchaguzi serikali za mitaa unavurugwa basi anayepasa kulaumiwa na kuwajibika ni Waziri mwenyewe, ambaye pia ni Raisi, yaani Samia Suluhu Hassan.

Kama kweli Rais Samia Suluhu alimaanisha anafuata 4R basi alipaswa kukomesha uonevu na hujuma zinazoendelea.
 
Hii wizara imekabidhiwa kwa makusudi kwa huyo jamaa(mkwe wa Samia) hili kuficha uchafu na ubadhirifu unaofanywa na Abdul akishirikiana na mama yake...

Poor Tanganyika it will be too late siku mkiamka.
 
Back
Top Bottom