DOKEZO TAMISEMI imulike wilaya ya Songwe

DOKEZO TAMISEMI imulike wilaya ya Songwe

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Songwe Yetu

Member
Joined
Nov 22, 2021
Posts
84
Reaction score
99
Tamisemi iimulike wilaya Songwe kwani wilaya hii inajiongoza kama taasisi yenye kujitegemea. (independet Ogani).Imetuhumiwa katika mambo mengi ya ovyo ovyo.

Haya yafuatayo:

1. Haifuati miongozo kutoka serikalini wala ya wizara ambayo iko chini yake. Imeweka miongozo yake na sheria zake ambazo zimekaaa kiupigaji na kujinufaisha wafanyakazi wa hapo. Na wanufaika wa mifumo hii DED, DC Na HR.

Wameanzisha sheria zao ambazo ni kinyume na ni kwa maslahi yao.

2. Kuna upigaji mkubwa umefanyika kwenye ujenzi wa hospitali na zahanatiza wilaya zinazoendelea ambapo DMO ametolewa kafala kwa kusimamishwa kazi.

Lakini upigaji huu umefanyika kushirikiana maofisa walioko hapo halmashauri. Ukianzia muhasibu wa wilaya, afisa utumishi, mainjinia, DED, DAS,DC.

Hawa wamehusika kwa kiasi kikubwa katika utafunaji wa pesa hizi. Hii inadabibishwa na kutofuata miongozo kutoka tamisemi.Wenyewe wamejitungia sheria zao ambazo zinawaongoza kiupigaji.

Ushauri
Serikali ifanye reforms ya viongozi hawa kwa maslahi ya wana Songwe
 
Tulia wale,aliwabana sana JPM.
 
Tamisemi iimulike wilaya Songwe kwani wilaya hii inajiongoza kama taasisi yenye kujitegemea. (independet Ogani).Imetuhumiwa katika mambo mengi ya ovyo ovyo.
Haya yafuatayo.
1.Haifuati miongozo kutoka serikalini wala ya wizara ambayo iko chini yake.Imeweka miongozo yake na sheria zake ambazo zimekaaa kiupigaji na kujinufaisha wafanyakazi wa hapo. Na wanufaika wa mifumo hii DED, DC Na HR.
Wameanzisha sheria zao ambazo ni kinyume na ni kwa maslahi yao.
2.Kuna upigaji mkubwa umefanyika kwenye ujenzi wa hospitali na zahanatiza wilaya zinazoendelea ambapo DMO ametolewa kafala kwa kusimamishwa kazi.
Lakini upigaji huu umefanyika kushirikiana maofisa walioko hapo halmashauri. Ukianzia muhasibu wa wilaya,afisa utumishi,mainjinia, DED, DAS,DC.Hawa wamehusika kwa kiasi kikubwa katika utafunaji wa pesa hizi. Hii inadabibishwa na kutofuata miongozo kutoka tamisemi.Wenyewe wamejitungia sheria zao ambazo zinawaongoza kiupigaji.
Ushauri.
Serikali ifanye reforms ya viongozi hawa kwa maslahi ya wana Songwe
Mtag Bashungwa fasta atafika hapo,na kama una madai genuine ingia ukurasa wao kaandike au andika kwenye email binafsi ya wazairi.
 
Pole saana DMO, Watu wengi wanajua umeonewa!!! Lakini hapa JF utachelewa, we nenda moja kwa moja kwa Bashungwa
 
Ahahaha DMO kaliwa kichwa. Noma sana nae utakuta u DMO alipewa wa michongo akakutana na wajanja wakala kichwa.

Rudi bench kaendelee kutibu maana kama ulithibitishwa mshahara utakuwa vilevile.

Vyeo vya michongo vimejaa wizara ya afya bila kuangalia weledi na elimu
 
Ahahaha DMO kaliwa kichwa. Noma sana nae utakuta u DMO alipewa wa michongo akakutana na wajanja wakala kichwa.

Rudi bench kaendelee kutibu maana kama ulithibitishwa mshahara utakuwa vilevile.

Vyeo vya michongo vimejaa wizara ya afya bila kuangalia weledi na elimu
Afisa utumishi ndio shida pale ni mvivu hafanyi kazi yeye ni mtu wa michongo sana. amedhirikians na Ded na hawafuati maelekezo ya Tamisemi ndio maana ndio maana wsnawatia wenzao kwenye matatizo
 
Tamisemi iimulike wilaya Songwe kwani wilaya hii inajiongoza kama taasisi yenye kujitegemea. (independet Ogani).Imetuhumiwa katika mambo mengi ya ovyo ovyo.
Haya yafuatayo.
1.Haifuati miongozo kutoka serikalini wala ya wizara ambayo iko chini yake.Imeweka miongozo yake na sheria zake ambazo zimekaaa kiupigaji na kujinufaisha wafanyakazi wa hapo. Na wanufaika wa mifumo hii DED, DC Na HR.
Wameanzisha sheria zao ambazo ni kinyume na ni kwa maslahi yao.
2.Kuna upigaji mkubwa umefanyika kwenye ujenzi wa hospitali na zahanatiza wilaya zinazoendelea ambapo DMO ametolewa kafala kwa kusimamishwa kazi.
Lakini upigaji huu umefanyika kushirikiana maofisa walioko hapo halmashauri. Ukianzia muhasibu wa wilaya,afisa utumishi,mainjinia, DED, DAS,DC.Hawa wamehusika kwa kiasi kikubwa katika utafunaji wa pesa hizi. Hii inadabibishwa na kutofuata miongozo kutoka tamisemi.Wenyewe wamejitungia sheria zao ambazo zinawaongoza kiupigaji.
Ushauri.
Serikali ifanye reforms ya viongozi hawa kwa maslahi ya wana Songwe
Duh nimeumia Sana ,ndiyo maana niomba kazi ya kufunga Madilisha & Milango ya ya aluminium ( Aluminium & glass fittings) lakini wakawa hawaeleweki na kuninyima kazi ,bila shaka waligundua kuwa nisinge toa 20% ya kazi. Na kufanya kazi kuoungua ubora
 
Hii
Tamisemi iimulike wilaya Songwe kwani wilaya hii inajiongoza kama taasisi yenye kujitegemea. (independet Ogani).Imetuhumiwa katika mambo mengi ya ovyo ovyo.
Haya yafuatayo.
1.Haifuati miongozo kutoka serikalini wala ya wizara ambayo iko chini yake.Imeweka miongozo yake na sheria zake ambazo zimekaaa kiupigaji na kujinufaisha wafanyakazi wa hapo. Na wanufaika wa mifumo hii DED, DC Na HR.
Wameanzisha sheria zao ambazo ni kinyume na ni kwa maslahi yao.
2.Kuna upigaji mkubwa umefanyika kwenye ujenzi wa hospitali na zahanatiza wilaya zinazoendelea ambapo DMO ametolewa kafala kwa kusimamishwa kazi.
Lakini upigaji huu umefanyika kushirikiana maofisa walioko hapo halmashauri. Ukianzia muhasibu wa wilaya,afisa utumishi,mainjinia, DED, DAS,DC.Hawa wamehusika kwa kiasi kikubwa katika utafunaji wa pesa hizi. Hii inadabibishwa na kutofuata miongozo kutoka tamisemi.Wenyewe wamejitungia sheria zao ambazo zinawaongoza kiupigaji.
Ushauri.
Serikali ifanye reforms ya viongozi hawa kwa maslahi ya wana Songwe
Hiii wilaya ni ya majambazi kuanzia wakuu wote wa idara kuanzia na viongozi wote wamekaaa kimchongo mchongo
 
Hii wilaya inaongoza kwa kuficha kila kitu mpk, wanafichaga mpaka vibali vya kuhama tamisemi nilihama ila kwa mbinde sana.
 
Kaka yangu Dr. Humphrey Masuki majungu haya hayatakusaidia. Wewe ni mtumishi wa umma ambaye mwajiri wako anaweza kukuhamisha wakati wowote kwa kadiri ya matakwa yake. Kuhamishwa kwako isiwe sababu ya kutengeneza majungu dhidi ya wenzio.

Kuhamishwa kutoka Wilaya ya Songwe na kwenda kwenu Moshi Vijijini isiwe mtaji wa kupika majungu dhidi Watumishi wenzio na Wateule wa Rais kwasababu kwa kufanya hivyo wala hakutakusaidia. Wewe siyo mtumishi wa kwanza kuhamishwa wala hakuna mtumishi wa serikali mwenye hati ya kukaa kwenye kituo kimoja cha ajira.

Tumia muda na akili yako katika kutimiza majukumu yako kwenye kituo chako kipya cha kazi badala ya kuanza kupika taarifa za uongo kwenye jukwaa hili lililojijengea heshima kubwa miongoni mwa Watanzania.

Labda nikupe taarifa, kwamba wakati wewe unapika majungu haya ili Mkurungenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe aondolewe, Mkuu wa Wilaya aondolowe na baadhi ya Wakuu wa Idara ambao ulikuwa hupatikani nao wote, Watumishi waliokuwa chini ya Idara yako ulipokuwa Mganga Mkuu wa Wilaya walifanya Sherehe baada ya kusikia umehamishwa. Hii inatokana na unyanyasaji mkubwa uliokuwa unawafanyia.

Dr. Humphrey Masuki wakati unapika majungu haya dhidi ya wenzio ni vizuri ukasema hapa zile fedha za OC ulikuwa unatumia na akina nani? Maana watumishi waliokuwa chini yako hawajui chochote.

Acha majungu! Hayatakusaidia!
 
Back
Top Bottom